Utakuwa mjinga sana ukiamini hivyo. Wenzako wanajali kweli kweli. Ndio maana pesa zao wanaweka huko. Wananunua nyumba huko. Wanasomesha watoto na Wajukuu woo huko/ wanaenda kutibiwa huko.
Halafu mjinga mmoja anajifanya eti hawajali?
Umesahau Magufuli mpaka anakufa mke na watoto wake hsta walikuwa hawajui Yuko wapi?
Hata Nchimbi most likely familia yake hawana mawasiliano naye tena.
Labda wewe ndio umesoma mambo ya mahakamani kwa mara ya kwanza.
Mahakamani ni kama boxing, ukija vibaya unagongwa na kutolewa kwenye mstari.
Hivi Katuga kumuuluza Lissu kama ana akili timamu ni busara ya wapi? Kumwambia ni maarufu kwa wazungu tu Ina busara gani? Yote yalikuwa na Lengo Lissu...
Kaishiwa hizo dawa gerezani. Anataka ndugu zake wampelekee.
Most likely hizo dawa ni kutoka Belgium kwa madaktari wake na sio fake hizo ambazo maskini wengi mnakunywa huko mitaani.
Shida Unafikiri sheria ni sawa na kusoma novel.
Sheria ni Taalum kama ilivyokuwa engineering. Kuna formula zake ukishindwa ku apply hutoboi.
Vielelezo vyote vimekataliwa ikiwemo video yenye maneno hayo. Utamfunga kwa ushahidi upi? Kilichopo ni hearsay. Mahakama haijaiona hiyo video.
Aseme...
Unachanganya mchele na pumba.
Wapi Chadema wamejimilikisha maridhiano? Wao wametoa msimamo wao kama nyie mnataka kwenda kwenye maridhiano Nendeni.
Suala la Lowassa liliamuliwa na Kamati kuu ya chadema. Ulitaka apuuze jambo lililopitishwa kwa kura na walio wengi? After all kulikuwa na dhana ya...
Somalia wapo banned Wakati alipewa visa?
Huyo Tayari alikuwa na visa. Jana Wasomalua wote walikuwa hawaruhusiwi angekataliwa Wakati ule anaomba visa. Lakini yeye alikuwa ba visa yake Tayari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.