Recent content by Mkulima

  1. M

    JamiiForums Tanzania Upinzani wa Tanzania: Je, Mnajua Mnachokitaka?

    Pumbavu kabisa kwa makala ndefu Lakini iliyojaa ujinga tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Utakuwa mjinga sana ukiamini hivyo. Wenzako wanajali kweli kweli. Ndio maana pesa zao wanaweka huko. Wananunua nyumba huko. Wanasomesha watoto na Wajukuu woo huko/ wanaenda kutibiwa huko. Halafu mjinga mmoja anajifanya eti hawajali?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kenan Kihongosi: Jeshi la Polisi wanafanya uchunguzi jambo la Polepole, wakikamilisha watatoa taarifa

    Mpuuzi kabisa huyu. Kuna siku watakuja kulipa ya Polepole.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Wewe ni Mtu evil kabisa. Upumbavu wenu unawafanya muwe na roho mbaya kabisa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Umesahau Magufuli mpaka anakufa mke na watoto wake hsta walikuwa hawajui Yuko wapi? Hata Nchimbi most likely familia yake hawana mawasiliano naye tena.
  6. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Hara babake humjui wewe. Toka lini babu akawa baba?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati, kabla ya kudai-ulizeni kwanza! Deogratius John Ndejembi ni kijana wa Dodoma

    Si unaona wewe unasema ni Mtoto wa Ndejembi Wakati wenzako wanakuambia ni mjukuu wake. Nani yupo sahihi? Hilo jina katikati la John limetoka wapi?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Katuga: Shahidi, shule si ulikuwa unafundishwa multiple choice?

    Labda wewe ndio umesoma mambo ya mahakamani kwa mara ya kwanza. Mahakamani ni kama boxing, ukija vibaya unagongwa na kutolewa kwenye mstari. Hivi Katuga kumuuluza Lissu kama ana akili timamu ni busara ya wapi? Kumwambia ni maarufu kwa wazungu tu Ina busara gani? Yote yalikuwa na Lengo Lissu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Lissu achangiwe ili anunue dawa. Amesisitiza kuishiwa dawa. Ndani ya masaa 24 zipatikane dawa

    Zitanunuliwa na nani? Dawa anazotumia Lissu sio hizo fake za maCCM
  10. M

    JamiiForums Tanzania Lissu achangiwe ili anunue dawa. Amesisitiza kuishiwa dawa. Ndani ya masaa 24 zipatikane dawa

    Kaishiwa hizo dawa gerezani. Anataka ndugu zake wampelekee. Most likely hizo dawa ni kutoka Belgium kwa madaktari wake na sio fake hizo ambazo maskini wengi mnakunywa huko mitaani.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jaji ningekuwa mimi Kavulata angekutwa na kesi ya kujibu

    Shida Unafikiri sheria ni sawa na kusoma novel. Sheria ni Taalum kama ilivyokuwa engineering. Kuna formula zake ukishindwa ku apply hutoboi. Vielelezo vyote vimekataliwa ikiwemo video yenye maneno hayo. Utamfunga kwa ushahidi upi? Kilichopo ni hearsay. Mahakama haijaiona hiyo video. Aseme...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

    Pia sio Uhaini. Je ni uasi juu ya nini? Nyerere alivyosema vijana wawe waaminifu wa mifumo kandamizi alikuwa anatenda uhaini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ninayemfahamu mimi kama wanadhani 'Prima Facie' itamnyenyekeza, wanakosea

    Unachanganya mchele na pumba. Wapi Chadema wamejimilikisha maridhiano? Wao wametoa msimamo wao kama nyie mnataka kwenda kwenye maridhiano Nendeni. Suala la Lowassa liliamuliwa na Kamati kuu ya chadema. Ulitaka apuuze jambo lililopitishwa kwa kura na walio wengi? After all kulikuwa na dhana ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Kama huwezi kusaidia, Kaa kimya. Inaelekea hata kusoma kilichoandikwa hujui. Hopeless kabisa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Somalia, Artan baada ya kuchezesha UEFA Super Cup asema 'Hili lilikuwa Kombe langu la Dunia'

    Somalia wapo banned Wakati alipewa visa? Huyo Tayari alikuwa na visa. Jana Wasomalua wote walikuwa hawaruhusiwi angekataliwa Wakati ule anaomba visa. Lakini yeye alikuwa ba visa yake Tayari.
Back
Top Bottom