Recent content by Mkulima

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kujibu kwa Kiswahili sio shida. Shida ni kushindwa kabisa kuelewa swali. Ilikuwa kuhusu vikwazo vya Russia na sio vya Tanzania. Ila akili ya Samia ipo kwenye hayo yanayoendelea EU na senate ya USA. Akafikuiri wanaongelea hayo🤣🤣🤣
  2. M

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Waige na demokrasia ya Uingereza pia.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mgawanyo wa Mali CHADEMA kutolewa maamuzi na Mahakama Mei 28, 2026

    Umepotosha. Hiyo sio Kesi ya Uhaini. Ni kesi ya mgawanyo wa mali. Ni ile kesi ya mchongo ya wale Wazanzibari.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Labda useme China. Huwezi kwenda hizo nchi zingine za Ulaya au Japan kama umepigwa ban kwenda USA.
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Tume ya Jaji Chande haikuwa na mamlaka kisheria kumwamrisha pathologist kuchunguza miili ya waliokufa kwa mashaka

    Mauaji ya Zanzibar kulikuwa na tume na ndio ilipendekeza maridhiano na serikali ya mseto
  6. M

    JamiiForums Tanzania Sioni Utaasisi wa CHADEMA kuelekea sikukuu za wafanyakazi, wafanyabiashara na hata wakulima. Ukiwaza kiundani Viongozi wake wengi wanatumika

    Chadema inawasemea Watanzania wote. Vyama vya wafanyakazi ni machawa wa CCM. Wacha waendelee kupigika. Usiilaumu chadema kwa upumbavu wa vyama vya wafanyakazi
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kufilisika Kisiasa, Kijamii na Kiuchumi ni Fedheha sana katika jamii ndugu zangu wadau wa JF

    Wewe sio tu jitu jinga sana Lakini pia una upambavu wa kuzaliwa. Unafikiri mali za wananchi mnazoiba na vitisho vya kuwaua vitakupa mileage? Mtu mpumbavu hana status hata aibe pesa ngapi. Hao unaowapigania ni wauaji na jamii ilishawakataa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru na CHADEMA ikifutiwa kesi zote

    Hivi watu kweli Mnajua kusoma na kufuatilia logics za jambo husika? Kuna vitu inatakiwa usome in totality ili kuelewa maana yake. Ukisoma point moja moja unaishia kujidanganya. Kwa Mfano namba tatu inahusu independent body kusimamia hayo mazungumzo na sio kwamba Lissu anajadiliana na serikali...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Metric Tonne (MT) Ndio Kipimo Kikuu Kinachotumika Wakati Kuuza na Kununua Mafuta katika Soko la Kimataifa

    Metric tonne vs barrel Oil can be expressed in metric tonnes (t), but: 👉 Prices are almost always quoted per barrel, not per tonne Why tonnes are used Metric tonnes are common when talking about: 1. Trade volumes (e.g., imports/exports) 2. Shipping and logistics 3. Refining output
  10. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Shida yako hujaelewa Azimio lao la December 2025 linasema nini. Lisome hilo ndio utajua wanakuja kufanya nini. Kilichoamuliwa jana ni kutekeleza azimio la 71 ambalo lilitolewa December 2025. Wewe umesoma tu Azimio la 72 bila kufanya reference ya azimio la 71.
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Rudi kwenye azimio lao la December 2025 utakipata hicho unachokisema. Toka December Tanzania walikuwa wanagoma na sasa wameachia. Tanzania wamekubali azimio la Commonwealth la December 2025. Masharti ni haya hapa a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu apewe upatikanaji kamili na huru kwa wadau wote...
  12. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Labda Kiingereza ni tatizo. Tanzania iligoma kuwapa free access na kusema wameunda tume yao. Jana ilikuwa commonwealth wafanya maamuzi yao. Kabudi kaenda ma kukubali yote ambayo December waliyakataa. Sasa tume ya commonwealth itaingia ikiwa na Uhuru wote.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tumuombe Mungu Marekani na Iran wazungumze misukosuko iishe, dunia irudi katika hali ya kawaida

    Mbona yeye alikataa kukaa na Watanzania wenzake na kutengeneza katiba? Badala yake akawaua watu wasio na hatia.
  14. M

    JamiiForums Tanzania JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

    Wamekosa kazi za kufanya hao. Uhuru wa kutia maoni Mao umekufa kabisa
Back
Top Bottom