Kujibu kwa Kiswahili sio shida.
Shida ni kushindwa kabisa kuelewa swali. Ilikuwa kuhusu vikwazo vya Russia na sio vya Tanzania.
Ila akili ya Samia ipo kwenye hayo yanayoendelea EU na senate ya USA. Akafikuiri wanaongelea hayo🤣🤣🤣
Chadema inawasemea Watanzania wote. Vyama vya wafanyakazi ni machawa wa CCM. Wacha waendelee kupigika.
Usiilaumu chadema kwa upumbavu wa vyama vya wafanyakazi
Wewe sio tu jitu jinga sana Lakini pia una upambavu wa kuzaliwa.
Unafikiri mali za wananchi mnazoiba na vitisho vya kuwaua vitakupa mileage? Mtu mpumbavu hana status hata aibe pesa ngapi.
Hao unaowapigania ni wauaji na jamii ilishawakataa.
Hivi watu kweli Mnajua kusoma na kufuatilia logics za jambo husika?
Kuna vitu inatakiwa usome in totality ili kuelewa maana yake. Ukisoma point moja moja unaishia kujidanganya.
Kwa Mfano namba tatu inahusu independent body kusimamia hayo mazungumzo na sio kwamba Lissu anajadiliana na serikali...
Metric tonne vs barrel
Oil can be expressed in metric tonnes (t), but:
👉 Prices are almost always quoted per barrel, not per tonne
Why tonnes are used
Metric tonnes are common when talking about:
1. Trade volumes (e.g., imports/exports)
2. Shipping and logistics
3. Refining output
Shida yako hujaelewa Azimio lao la December 2025 linasema nini. Lisome hilo ndio utajua wanakuja kufanya nini.
Kilichoamuliwa jana ni kutekeleza azimio la 71 ambalo lilitolewa December 2025. Wewe umesoma tu Azimio la 72 bila kufanya reference ya azimio la 71.
Rudi kwenye azimio lao la December 2025 utakipata hicho unachokisema.
Toka December Tanzania walikuwa wanagoma na sasa wameachia. Tanzania wamekubali azimio la Commonwealth la December 2025.
Masharti ni haya hapa
a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu apewe upatikanaji kamili na huru kwa wadau wote...
Labda Kiingereza ni tatizo. Tanzania iligoma kuwapa free access na kusema wameunda tume yao. Jana ilikuwa commonwealth wafanya maamuzi yao.
Kabudi kaenda ma kukubali yote ambayo December waliyakataa.
Sasa tume ya commonwealth itaingia ikiwa na Uhuru wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.