Recent content by Mkulima

  1. M

    PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Shida yako hujaelewa Azimio lao la December 2025 linasema nini. Lisome hilo ndio utajua wanakuja kufanya nini. Kilichoamuliwa jana ni kutekeleza azimio la 71 ambalo lilitolewa December 2025. Wewe umesoma tu Azimio la 72 bila kufanya reference ya azimio la 71.
  2. M

    PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Rudi kwenye azimio lao la December 2025 utakipata hicho unachokisema. Toka December Tanzania walikuwa wanagoma na sasa wameachia. Tanzania wamekubali azimio la Commonwealth la December 2025. Masharti ni haya hapa a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu apewe upatikanaji kamili na huru kwa wadau wote...
  3. M

    PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Labda Kiingereza ni tatizo. Tanzania iligoma kuwapa free access na kusema wameunda tume yao. Jana ilikuwa commonwealth wafanya maamuzi yao. Kabudi kaenda ma kukubali yote ambayo December waliyakataa. Sasa tume ya commonwealth itaingia ikiwa na Uhuru wote.
  4. M

    Rais Samia: Tumuombe Mungu Marekani na Iran wazungumze misukosuko iishe, dunia irudi katika hali ya kawaida

    Mbona yeye alikataa kukaa na Watanzania wenzake na kutengeneza katiba? Badala yake akawaua watu wasio na hatia.
  5. M

    PostGE2025 Balozi wa Umoja wa Ulaya akiri EU imeanza kuweka vikwazo kwa Serikali ya Tanzania baada ya Uchaguzi wa 2025

    Yule Mwenezi wao Muongo si alisema ameambiwa vikwazo vimeondolewa? Ccm na viongozi wao hawa waongo waongo shida sana.
  6. M

    The voices from within japo simtetei Mafwele, ila sio kila kinachosemwa juu yake ni kweli, vitu vingine si yeye ila ni wanamsingizia tu kuwa ni yeye!

    Pasco, Na ya Mkenya je? Na dada wa Uganda? Hao wawili pia wamemtambua Mafwele kwamba ndiye aliongoza kuteswa kwao.
  7. M

    PostGE2025 Barua ya CHADEMA kwa Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika

    Ni vizuri sana kuweka records sahihi hata kama AU hawatashughulikia.
  8. M

    Waziri Thabit Kombo: Migogoro yetu inasababishwa na nguvu za nje

    Hata Sisi Mbona tuliitambua Biafra ndani ya Nigeria?
  9. M

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Kombo hawezi kutoa press kwasababu itabidi aseme walichoongea. Na anaogopa kudanganya kwasababu ICC nao watasoma. Hii maanake yake waliongelea hayo ya case kwa Samuya.
  10. M

    Wanalala kwenye magari kwa ukosefu wa nyumba-Bristol city house crisis

    Miji mikuu ya Uingereza ina wanafunzi wengi sana. Bristol ina wanafunzi wa vyuo vikuu Karibu 70,000. Na kwa Uingereza vyuo vikuu vinakuwa katikati ya jiji kama ilivyo IFM kwa Tanzania. Kwahiyo sehemu kubwa ya nyumba za katikati ya jiji huchukuliwa na wanafunzi. Na wanafunzi UK wanakuwa na pesa...
  11. M

    CHADEMA inatumia mifano hovyo inawadanganya wafuasi wake kuwa Samia atahukumiwa ICC ,hii mifano ya kuondoa ujinga huo

    Ni hiyo hiyo na tofauti ni jina tu. Malengo ni yale Yale. ICC imebafili hizo tribunals ikiwemo ya Rwanda
  12. M

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Yes, nchi zote za West wame sign kasoro usa. Na west ndiko wanaenda kula bata
Back
Top Bottom