Shida yako hujaelewa Azimio lao la December 2025 linasema nini. Lisome hilo ndio utajua wanakuja kufanya nini.
Kilichoamuliwa jana ni kutekeleza azimio la 71 ambalo lilitolewa December 2025. Wewe umesoma tu Azimio la 72 bila kufanya reference ya azimio la 71.
Rudi kwenye azimio lao la December 2025 utakipata hicho unachokisema.
Toka December Tanzania walikuwa wanagoma na sasa wameachia. Tanzania wamekubali azimio la Commonwealth la December 2025.
Masharti ni haya hapa
a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu apewe upatikanaji kamili na huru kwa wadau wote...
Labda Kiingereza ni tatizo. Tanzania iligoma kuwapa free access na kusema wameunda tume yao. Jana ilikuwa commonwealth wafanya maamuzi yao.
Kabudi kaenda ma kukubali yote ambayo December waliyakataa.
Sasa tume ya commonwealth itaingia ikiwa na Uhuru wote.
Kombo hawezi kutoa press kwasababu itabidi aseme walichoongea. Na anaogopa kudanganya kwasababu ICC nao watasoma.
Hii maanake yake waliongelea hayo ya case kwa Samuya.
Miji mikuu ya Uingereza ina wanafunzi wengi sana. Bristol ina wanafunzi wa vyuo vikuu Karibu 70,000.
Na kwa Uingereza vyuo vikuu vinakuwa katikati ya jiji kama ilivyo IFM kwa Tanzania.
Kwahiyo sehemu kubwa ya nyumba za katikati ya jiji huchukuliwa na wanafunzi. Na wanafunzi UK wanakuwa na pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.