Recent content by mkukuri

  1. M

    Kauli hii ya Wasira ni matokeo ya CCM kukataa tamaa na kuwa na hasira hivyo kuongea tu kutokana na frustrations

    Wanaendelea kujaa kwenye mfumo.Huu usemi una ukweli "no permanent situation" waongoze milele wao ni akina nani?
  2. M

    PreGE2025 Lissu: Uchaguzi hautafanyika wananchi mkakubaliana na msimamo wetu mkaandamana siku ya uchaguzi

    Ya ovyo kwako,subiri mtaona,wananchi tumechoka.Nchi yetu sote halafu inufaishe maccm machachee.tumekataaaaa
  3. M

    PreGE2025 Chadema wasiifanye 'no reforms no election ' kuwa ni ajenda ya kitaifa, hiyo ni agenda yao ya chama kama vile ilivyo M4C

    Huna akili Wewe.wananchi ndio watakaoumia kuwekewa viongozi wabinsfsi na mizigo
  4. M

    Video: Mdada aenda saluni kusuka wakati hana hela. Alichofanyiwa na mwenye saluni tunaomba Dkt Gwajima aingilie

    Alichofanyiwa ni sawa kabisa.kama hakuwa na hela alikuwa anaenda kufanya Nini kwenye biashara ya watu. Mtu ana marejesho,Kodi ya ofisi halafu afanye kazi bure
  5. M

    Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

    Polisi wanaotumiwa na hii serikali ya kipumbavu tunaishi nao.waendelee kutesa na kuua ndugu zetu bila sababu,kuna siku tutawauwa wote na familia zao waumie kama sisi tunavyoumia kupoteza wapendwa wetu.Wananchi tuko wengi kuliko hao majambazi polisi
  6. M

    Mpaka leo tarehe 23.02.2025 huyu mama hajapeleka watoto shule kisa hana ada, ukimwambia shule za serikali zipo anasema hawezi kufanya huo ujinga

    Wewe Ndio mshamba,acha kuhangaika na Mambo ya watu,dunia ina Mambo mengi huwezi yote fanya ya kwako kaa kimya.
Back
Top Bottom