Umemtumia mtu text lakini hajakujibu, meseji imepokelewa lakini hajajihangaisha kukujibu. Ukaamua kuiweka simu pembeni kuendelea na mambo mengine baadae unarudi bado unaona kimya hajakujibu.
Lakini ukitizama WhatsApp unaona yuko online busy akichati na kubadili DP na status.
Unabaki ukijiuliza...
Habari Great thinkers
Naomba kuuliza hili maswali kuhusu Dunia. Tunaambiwa Dunia ina umbo la Tufe, Pia ni kawaida maji kukaa Square hajalishi yapo kwenye kitu chenye umbo gani.
>Nini kinafanya maji yazunguke kwenye hili umbo la Tufe la Dunia?
>Kama Dunia ni Tufe,Kwanini Mto mrefu kabisa, mto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.