Namhurumia Sana Putin masaa 72 bado hayajafika kumbuka kilometers 61 + 10 hivi ya zanaza vita ziliishia kusikojulikana ,sa hivi anatisha Nyau watu wazima eti nuke wakati Ukraine naye anayo nuke Hadi Sasa ,hizo S 400 + 500 zinapigwa kila uchaosa hivi ameokota mawe anamtishia Zelensk ,Putin akili...
Kuna watu wanadhani Rusia n
i mtemi hivyo ,kumbe ni WA kawaida tu , yeye Rusia Kila akipigwa kidogo anakuja na toleo jipya la silaha ndo ujue ya kuwa ni mweupe ,wenzie wanamsoma tu kwamba yeye ndo wa kwanza kuwa na hypasonic ?wenye mizigo wametulia ,yeye mayowe mengi ,kamaliza kuuwa jeshi...
Rusia ni mchovu angekuwa na nguvu ndo angealika msaada wa Korea na china na waarabu ,kombora la ajabu Gani unadhani wengine hawana ajabu ,hiyo storm Shadow ni ajabu kupiga base ya unaemwita mbabe
Rusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,
Rusia imekuwa
Rusia mwenye air defense nzuri ,anachezea kipigo Cha Ukraine storm Shadow Atacism zinapenya ,kule Iran si alipereke s 300 na S 400 zikatiwa kiberiti zote
Bado Ukraine ni mwamba
Ww akili yako ni timamu , Ukraine ni ndogo Sana kwa Rusia ulitegenea asisaidiwe ,mbona Rusia na nguvu zake zote anasaidiwa na north Korea china iran ,huoni kuwa ameshindwa Hadi kaomba msaada ,kwa Sasa Rusia hamuwezi zelensk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.