Recent content by mkolaj

  1. mkolaj

    Naombeni msaada wa dawa za kutibu ugonjwa wa Scabbies

    Ndugu wa Jf poleni sana Kwa mihangaiko yetu ya siku, natumaini tunaendelea vizuri kulingana na mapenzi ya muumba wetu. Nirudi kwenye maada, Mimi nasumbuliwa na homa ya Scabbies, kiukweli hii homa inanifanya nikose amani, ngozi ina upele na inawasha sana. Naombeni msaada wetu wa dawa mzuri za...
  2. mkolaj

    Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

    Sawa, nakushukuru Kwa ushauri wako
  3. mkolaj

    Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

    Hiyo namba 1 unamaanisha nini mkuu!!
  4. mkolaj

    Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

    Asante Kwa ushauri, nakuahidi nitaufanyia kazi. Maana hii hali ina maudhi sana, saivi hadi ubora wa tendo umepungua Kwa kiasi kikubwa
  5. mkolaj

    Nini chanzo cha tumbo kujaa gesi?

    Na Mimi nasumbuliwa na tatizo hilo hilo, yaani nikila kidogo tu tumbo linajaa. Mwenye kujua ufumbuzi wa hili tatizo tusaidiane
  6. mkolaj

    Nini chanzo cha tumbo kujaa gesi?

    Hili tatizo limekuwa kubwa mno, labda hivi vinywaji vya viwandani ndo imekuwa chanzo Cha kujua Kwa hili tatizo
  7. mkolaj

    Nini chanzo cha tumbo kujaa gesi?

    Kumbe Ukiwa na hilI tatizo haifai kula wali!! Asante Kwa kunipa ufahamu.
  8. mkolaj

    Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

    Ndugu wanaJf natumaini wote mko na afya njema, nirudi kwenye mada, Nina tatizo ambalo limekuwa linanisumbuwa Kwa muda mrefu, Kila nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa ni kama vile nimekula chakula kingi. Pia inachukua muda mrefu hadi nianze kuhisi njaa. Naomba mwenye kujua hili tatizo...
  9. mkolaj

    Shida ya gesi tumboni

    Nilitumia hii dawa lkn sikupata unafuu, lbd sikufuata maelezo vizuri. Hebu nambie namna ya kutumia hii bicarbonate
  10. mkolaj

    Shida ya gesi tumboni

    Aisee gesi ni hatari sana, hivi hakuna dawa za kutibu hili tatizo? Mimi nimetumia dawa nyingi lkn hadi Leo haijaacha kunisumbua.
  11. mkolaj

    Jukwaa la Jamii forum doctor au Jf Afya limepotelea wapi?

    Ndugu wanaJf ni simu yangu tu au na ninyi kwenye simu zenu Jukwaa la Afya kutoonekana! Tangu Jana nalitafuta silipati. Kuna shida gani! Naomba mwenye kujua tatizo atuambie....
  12. mkolaj

    Mtu mwenye tabia gani huwezi kuwa nae kwenye mahusiano kamwe?

    Mwanamke mjuaji na muongeaji sana siwezi kuwa nae katika mahusiano
Back
Top Bottom