Yes kucheza ni muhimu ili kuwaziba midomo. Hawa tukisema tusicheze hatutashushwa daraja wala kupokwa pinits , ila wao watapewa pints na kupewa ubingwa, Na kumbuka hawa jamaa wanachotaka ni ile ubingwa tu. Sasa dawa kucheza nao ili wasi[pate lolote mwaka huu.
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa...
hawajui ilo. Wao akili zao zinawatuma kuwa wakikataliwa Aman kwa hiyo event watarudishwa tena kwa Mkapa. Tena waambie kucheza Kenya au Rwanda wameonewa huruma. Wanaweza kurudishwa tena Morocco kwa awamu ya pili
Etu yanga ndio wanatengeneza propaganda. Wahuni kweli hawa.
Ilawajipange huko kwenye fainali ndipo wachezaji wanaonekana na wadau, uwezekano baada ya fainali wachezaji hawa wa Simba kuchukuliwa na vilabu vya waarabu ni mkubwa.
Mpanzu
Kibu
Camara
Ahoua
Fadiu
SO msimu ujao mjipnage kama...
kwa hiyo timu nzima mnamuangalia Mpanzu. Alifanya nini kwenye mechi dhidi ya Mshuajaa mpaka makpelekwa dakika 120 utafikiri mpo kwenye hatua ya mtoano au fainali Mna shida kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.