Recent content by mkma

  1. M

    Kinana na Chongolo wamepongeza uteuzi wa Makonda mpaka sasa hadharani? Kama bado kwanini?

    Kabla ya hapo onyesha walipopongeza Uteuzi wa Mjema Usipopata basi unashauriwa kuondoa Negative mentality kwa uteuzi huu Maana utajitesa sana Kinana akikohoa unatafsiri Kikohozi hicho cha Makonda Chongolo akisema amechoka unatafsiri uchovu huo chanzo Makonda Hebu jikiteni kwenye agenda za...
  2. M

    Hayati Magufuli alisema Mikutano ya Siasa nyakati zisizo na Uchaguzi ni Sawa na kuizuia Serikali kuwaletea Maendeleo Wananchi!

    Nimeielewa vizuri tu na ndiyo maana nimekujibu hivyo. Huenda kama wewe ndiye hujaelewa Context ya kile nilichoandika Waweza kuuliza pia
  3. M

    Hayati Magufuli alisema Mikutano ya Siasa nyakati zisizo na Uchaguzi ni Sawa na kuizuia Serikali kuwaletea Maendeleo Wananchi!

    Ok Sawa Boss Kwa Hiyo Wewe na watu wa kariba yako mnataka Serikali Izuiwe isitekeleze Maendeleo??? Natumaini UMEJIELEKEZA vibaya!!! Rudi nikupate vizuri
  4. M

    Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

    Contentious terms of the contract Prof Tibaijuka hawezi kuzifasiri maana siyo taaluma yake, ndo maana unaona ameishia kuvurunda tu, amefasiri kwa Uelewa wake wa Kiingereza na amepotosha meeengi tu Mimi Naona ungeandaliwa mdahalo ili mbivu na mbichi zitenganishwe
  5. M

    Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

    Tibaijuka kasomea sheria lini ?? Mbona ndiye Bingwa huko kwenu kwa Sasa na mfano wa ujasiri kwenu?? John Heche, Mbowe, Msigwa Kuna lolote wanajua kuhusu sheria?? Mbona ndio mouthpieces Wa KUAMINIKA anga hizo kuhusu DPW??? Hoja yako ni Mufilisi Wenye IQ nzuri Watakupuuza
  6. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Basi sawa mkuu Hebu ibaki Kwamba Hawa Wote ni wanasheria wetu nchini Tusonge mbele mkuu
  7. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Sheria ikisimama kwa miguu yake Siasa ikisimama kwa miguu yake Unazi wetu ukasimama kwa miguu yake Hata siku moja hutaona ukaribu wowote Kati ya Hao wawili
  8. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Kwani unayo rekodi Lissu kashinda ngapi rafiki
  9. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Biasness?? Inawezekana Inategemea Wewe uliyepima Hiyo Biasness ulisimama angle ipi Maana wapo wengine wanaoona tofauti na Wewe kuwa Mahakama ilitenda Haki
  10. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Huenda Japo sijawahi kujua ukilaza wake Ninachojua mmoja kamfundisha mwingine Halafu walishakutana kwenye kupima ukilaza Wote wawili mmoja ambaye ni Lissu akaangukia pua Inawezekana ni Kilaza kweli
  11. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Hii issue wameiendea kimihemko sana Kwa sasa wengi wataonekana hawakuwa SAHIHI akiwemo MBOWE Katika hili namuona mzee wa FURSA Zitto akiibuka KIDEDEA, Hakukurupuka kupinga Ingekuwa vema kama wabunge wangejielekeza KUBORESHA vifungu ambavyo haviko sawa, sasa watuweengi huku nje waliingiza ya...
  12. M

    Nimepata utata kwenye mjadala unaondelea bungeni, huu ni Mkataba au makubaliano?

    Lkn Hata Tundu Lissu alipigwa za Uso Kumbuka Ile Case Ya Uchaguzi [emoji23][emoji23][emoji23]
  13. M

    Barabara za lami zikijengwa wilaya ya Hai ni sawa ila zikijengwa Geita ni matumizi mabaya ya kodi!

    Hana lolote zaidi ya tribalism ndo inamsumbua Wakati KIA inajengwa Moshi Idadi ya Watu ilikuwa ndooogo Sana Atakimbilia Kusema Potentials zilizopo lakini hawezi kusema Mlima Kilimanjaro unaingiza Kiasi gani nchini kulinganisha na Dhahabu na madini Yaliyopo eneo la Geita, Kama ni hifadhi Geita...
  14. M

    Barabara za lami zikijengwa wilaya ya Hai ni sawa ila zikijengwa Geita ni matumizi mabaya ya kodi!

    Wakati KIA inajengwa Naomba kukumbushwa Population ya Watu Moshi ilikuwa wangapi? Kwako Wewe neno FORECAST Unalifahamuje as far as Development is concerned
Back
Top Bottom