Kuwashwa sehemu za siri na kuota vinyama nyama kwa nje husababishwa na nini? Na ni nini tiba yake?
Ni sehemu za siri za mbele yaan sehemu ya haja ndogo kwa ndani inawasha na kuota vinyama nyama kwa nje husababishwa na nini?
Pia muwasho huu unakuja kupotea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.