Eti huwezi kusaidia wana nchi wako? Time will tell kama atapita 2020 akatambike atakuwa rais wa kwanza tanzania kuongoza muda mfupi kuliko nchi yoyote Africa mashariki....!
Ninauhakika saa8 yupo mahali ninachoomba tu awe mzima kijana mwenzetu ila kunasiri kubwa sana kuhusu huyu jamaa haiwezekani akapotea kienyeji au kirahisi hivi
JamiiForums inamuongea sana kubenea lakini tutakuja sikia tena humu humu ndani kwasababu hata kipindi wanasema slaa atajiuzulu nilibisha sana lakini baadae nilichoka....shikamoo JamiiForums
Kuna siku humu ndani walisema lowasa jina litakatwa likakatwa wakasema atahamia cdm akaamia wakasema zitto atafukuzwa akafukuzwa kweli na mengine mengi.... shikamoo JamiiForums yetu macho na masikio
Watanzania tunajisahau sana kwa mambo ya msingi,kingine lema anashindwa kujielewa yeye nikiongozi aliyechaguliwa na zaidi ya watu laki 5 LaZima uangalie unachotamka mdomoni kila siku ni majungu ugomvi majuukwaani toa sera utatufanyia nn wana arusha? Sio ushabiki wa viroba hata Mandela hakuwa...
Lema anashindwa kuelewa kuwa huyu sio Mkwere ni Ngosha hata majaji wanatakiwa kufanya maamuzi magumu pia mawakili wetu wamekuwa wakiwazarau mahakimu ndio maana hawajipangi wakati Wa kesi wanajua hakuna shida ila hii imewashtua ndio maana hawakuongea kabisa wanajua makosa yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.