Recent content by mkataumem

  1. mkataumem

    Natafuta ajira ya Transporter /clearing and forwarding

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu. Naombeni ajira...
  2. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Auko serious mzee... Ungesema unahitaji wateja wa nafaka Congo ni simple.. Kuhusu dhahabu kwani wanazo tu waasi mzee?
  3. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Tunafanya kazi
  4. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Mizigo ya magendo aina dalali
  5. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Kazi inafanyika
  6. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Maana inafuatana na nature ya mzigo mingine haitaji mingine dalali anaingia wakati labda pale anapokutafutia gari mfano Mazao
  7. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Mfano mzigo gani?
  8. mkataumem

    Mizigo kutoka Zambia na Congo

    Kama unamzigo wowote kutoka Congo na zambia. Mzigo wowote tunakuvushia upande wa Tanzania Kwa usalama kabisa. Nipo boda ya Tunduma. Kama una mzigo tunaweza fanya kazi. Muda wowote.
  9. mkataumem

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu naombeni machimbo ya viatu na Sendo za kiume kkoo bei za afadhari nataka fungua duka mkoani... Thanks
  10. mkataumem

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nahitaji maduka wanayouza viatu vya kiume na Sendo bei rahisi angalau Kwa kkoo nataka anza uza mkoani.. Please
  11. mkataumem

    Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

    Ehhh ngoja wavune vizuri watu waanze nunua Mazao Sent from my unknown using JamiiForums mobile app
  12. mkataumem

    Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

    Ijipambanie tu si tunafurahi upande wa kwacha na Tshiling tu Sent from my unknown using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom