Recent content by Mkarafati

  1. M

    JamiiForums Tanzania DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Ni ajabu sana eneo hili la Goba hakuna maji ya DAWASCO kwa zaidi ya miezi miwili na hakuna sababu yoyote inayotolewa. Eneo linalokosa maji ni eneo la shule ya St Joseph hadi kwa Sanya na, Kontena Haiwezekani maeneo kama Kimara, Mbezi luis a,bako maji yalikuwa shida miaka yote siku hizi maji...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Huduma za Ardhi Manispaa ya Ubungo

    Kitambo sana hakuna huduma za mipango miji, upimaji na utoaji hati manispaa ya Ubungo. Kila ukienda pale unaambiwa bado bado kisa hawana ofisi baada ya kutimuliwa kinondoni (walibakia pale baada ya mgawanyo) Jana nimeenda pale nimeambiwa bado mafaili hayajapangwa na eti mtambo wa kuchapa sijui...
Back
Top Bottom