Ninaishi na mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja ila hatujafunga ndoa.
Home kwetu wanamfahamu, kwao pia wananifahamu.
Kiukwel kwa sasa nimefall sana kwa mwanamke mwingine ambaye ndiye hasa natamani awe mke wangu wa ndoa.
Tatizo linakuja, huyu wa pili ni dini tofauti na mm japo yu tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.