Binafsi nashindwa kuamini kama wimbi kubwa la wananchi kujiandikisha ni kwa ajili ya kupiga kura au wengi tunatafuta vitambulisho kwa ajili ya ya matumizi yetu binafsi.
Naamini hivyo maana siku hizi kitambulisho cha mpiga kura kimegeuka kuwa kitambulisho cha taifa ndio maana unaona kuna kundi...
Kwa ujumla ccm na viongozi wake wanatia aibu kubwa sana kuwasanganya wananchi kwa kupeleka watu pale nkrumah ili washabikie mambo yao ya kifisadi pia ni aibu kubwa sana kwa wasomi wanaotegemewa na taifa hili kununuliwa kifikiri lakini pongezi zangu kwa prof mkangala na dr. mkumbo maana wamesema...
Rais hana lolote la maaana siasa hizi z kidini kalete anarudi kufanya nini kiuukweli katuharibia nchi yetu amani angefanya la maana kuachia ngazi kama anuchungu kwa yanayotokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.