Recent content by Mkalimani wa Ikulu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    nazote hizi nijuhudi za serikali y'a awamu y'a tano
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kama taifa tuna katiba isiyofaa, tumuombe Mungu Rais Samia Suluhu asipate kiburi. Vinginevyo ni majanga

    Tunamzoom kwanza akipepesa macho tunaanza nae
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Nimeliona hilo mkuu kwa ngazi ya mabeyo hiyo haikuwa speech nzuri
  4. M

    JamiiForums Tanzania Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

    Yaa tupo bize ikulu hapa tunachakata mambo,,,,sema tu tutawaletea mtu anaezijua Siri za nchi hii yasitokeee kama yajana eti amir jésh mkuu apewe Siri zanchi n'a jeneral,,
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Kuna mngine kaibuka anajiita veronica France,,,Aisée yé-yé n'a makamba makamba nayeye anaenda mbali nakutekenya kwa mkwere
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Ndio maana kigogo anawakumbiza sana,,,Magu n'a samia walikuwa ofisi moja sasa unajiuliza kulikuwa nasiri ambazo magu n'a mabeyo wanazo nasamia hazijui, kunashida mahali yaani mtu ambaye kikatiba alikuwa anasimamia ofisi ta rais kama rais hayupo Léo hii kumbe kuna baadhi yasiri hazijui? Ina...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

    yaani wameshamuweka maza mtu kati eti akishaanza kupangua, means wanamtishia
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hawa Waganga Njaa wanaoishi kwa majungu aliowasema Kikwete siyo Chadema kweli?

    kama mnajaribu kuhamisha magori hivi ??? Alisemaga kama ccm haitavurugika saizi bas haita vurugika tena naona huu nimda mwafaka mnasengenyana sana Siri zaikulu ziko hadharani mnaenjoy tu hamna waswas
  9. M

    JamiiForums Tanzania Je, Magufuli amemfunika Nyerere kwa waombolezaji kwa sababu ya mtandao au ni kweli?

    We fikiri hali yakifeza iliyokuwepo kipind hicho lakini mhuni katandaza mataaluma dsm to tunduma,,,lakini jamaa kipande kidogo tu cha reli wanamfagilia kama majaabu flan,,,
  10. M

    JamiiForums Tanzania Je, Magufuli amemfunika Nyerere kwa waombolezaji kwa sababu ya mtandao au ni kweli?

    Kwo siku hizi misiba nimashindano ?? Ndo mana watu wanatwanga mbege safari namziki kwasababu mnefiwa badala yamhuzunike mnatafuta viewers namafolowaziii 😂😂😂turudi kwenye hoja idadi yawatu kipindi hicho nasaizi nitofaut,, ufatiliaji wakipnd hicho nasaiz nitofaut usingeweza kukusanya data za idadi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Kwaheri John Magufuli, Buriani Tingatinga

    Wavivu wakusoma utawajua tu !!! Marehemu kanangwa mpaka huruma yey kaja amekenua meno
  12. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Kwaheri John Magufuli, Buriani Tingatinga

    mkalimani nasema thé payment is hère hère thé World,,,,,,, shida y'a marehemu alikuwa namdomo sana,,,,, zitto ufufue n'a île issue y'a 1.5trl afu mkiwashe kama île y'a escroww,,,,, mataga wapoteane
  13. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    Nikiwa kama mkalimani natafsiri hivi thé payment is herehere thé world
  14. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    Assume uko zako katongoroshi ndani ndani huko afu huna hâta ubalozi wanyumba kumi nawakti huohuo unanfunga kamba mama upo nyuma yake😂😂😂
Back
Top Bottom