Tanzania tuna matatizo ya
kimfumo.kwa mfano pale Udsm kuna
wanafunzi wengi sana ukiagalia
historia zao wamesoma shule za
gharama kubwa sana na wengine
kuliko hata zile wanazotakiwa kulipa chuo kikuu.
mfano mimi nina rafiki zangu wengi
wamesoma Shule kama saint
Francis,Marigoreti na Marian Girls...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.