mwafrika aliulizwa na mzungu hivi kwa nn ninyi waafrka mkiulizwa maswali huwa nanyi mnauliza mwafrka akanibu kwani we hayo maneno umeyasikia wapi...
naona unataka kukusanya DATA
nawaclisha......
Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla..
issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na kujipangia makubwa atakayofanya kwa huyo manzi..
ila jamaa akishapata mzigo mara ya kwanza hutosheka na...
Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla..
issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na kujipangia makubwa atakayofanya kwa huyo manzi..
ila jamaa akishapata mzigoara moja huwa hamu humwishia...
Huwez jua huyo aliyekutumia hyo clip anatafuta njia ya kuwa karbu nawe ktk maswala hayo,au anaupungufu fulan
Ila kafanya kitendo cha kujiamin..
Nawasilisha.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.