Recent content by mjukuu.

  1. M

    msaada wana mmu...

    mkuu mwekundu dawa yake nini pengine.....
  2. M

    msaada wana mmu...

    Dah wakuu hv umri ndo kigezo au sijasanda.....!!!!!!!
  3. M

    msaada wana mmu...

    Dah wakuu hv umri ndo kigezo au sijasanda.....
  4. M

    msaada wana mmu...

    mwafrika aliulizwa na mzungu hivi kwa nn ninyi waafrka mkiulizwa maswali huwa nanyi mnauliza mwafrka akanibu kwani we hayo maneno umeyasikia wapi... naona unataka kukusanya DATA nawaclisha......
  5. M

    msaada wana mmu...

    mkuu mjamaa ana elimu ya chuo mwaka wa nne so unaweza gundua ni rika gani...
  6. M

    msaada wana mmu...

    Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla.. issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na kujipangia makubwa atakayofanya kwa huyo manzi.. ila jamaa akishapata mzigo mara ya kwanza hutosheka na...
  7. M

    msaada wana mmu...

    Nimependezwa kuleta jamvini swala hili nina jamaa yangu mtu wa karibu ambaye nayafahamu maisha yake kiujumla.. issue ni kwamba msela akimface dem at the first time huwa anampenda na kujipangia makubwa atakayofanya kwa huyo manzi.. ila jamaa akishapata mzigoara moja huwa hamu humwishia...
  8. M

    hodi hodi wana MMU...

    poa sana mkuu pamoja.....
  9. M

    hodi hodi wana MMU...

    sante mkuu pamoja sana.... nawaclisha......
  10. M

    hodi hodi wana MMU...

    dah nmefurahi kupokelewa humu ka mgeni..ila inaelekea jinsia ina mata sanae....!!!! nawaclsha.....
  11. M

    hodi hodi wana MMU...

    Habarini za asubuhi wana MMU nabisha hodi kwenu tafadhali mnipokee.... nawasilisha.........
  12. M

    Nimeshindwa kusema naomba kinga dukani

    dah kwako wewe mwambie2 naomba baloon(pulizo) atakuelewa....... Nawasilisha.........
  13. M

    Salima Mwanayumba wangu

    Mungu saidia vijana.jaman tamaa mbaya....kosea njia ila sio salima.. Nawasilisha
  14. M

    Tumshauri huyu dada kweli amekwazika sana.

    Huwez jua huyo aliyekutumia hyo clip anatafuta njia ya kuwa karbu nawe ktk maswala hayo,au anaupungufu fulan Ila kafanya kitendo cha kujiamin.. Nawasilisha.....
  15. M

    Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

    Ukweli mungu tusaidie sisi wanaume coz tumekuwa TOMASO mpaka tuone bk ndo tuamian... Nawasilisha........
Back
Top Bottom