Nadhani hayakufika hapo iviivi yalianzia mahali na ww ukayafuga madhara yake ndo hayo.sema nae na akubali kubadilika
Ukiona akuelewi na hana mpango let it go.
C kwamba kuna wema zaidi,amna wote tu wanadam na tunamapungufu yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.