Recent content by MJOMBA R.P

  1. M

    Shikamooooo CAS, Ikifunguka wajuze na wenzako hapa.

    Wadau habari zenu,poleni na kibarua cha elimu ya Tanzania... kwa wale ambao wanataka kuhama vyuo kupitia TCU nadhani mpaka sasa CAS haifunguki...katika page hii tunaomba tujuzane itakapofunguka,au Kama hutoweza kutujuza humu ndani basi tuma sms kupitia 0676476546 namimi nitawajuza wengine...
  2. M

    Transfer ya chuo

    Hapana ndugu,yaani Ni hivi: mwisho wa kuomba transfer Ni tar 02/12/2012,,,CAS ikishafunguka watu wataomba transfer Na ukishaomba utakuwa Si peke yako ulioomba kwa siku mtakuwa wengi.kwahiyo watakachofanya Ni kwamba utapewa majibu yako ya kuwa umechaguliwa Chuo gani kupitia PROFILE yako ya TCU Na...
  3. M

    NIPENI MSAADA: kwa mliokwisha jisajili mzumbe university mbeya campus au kwa yoyote anayejua.

    Wadau mliochaguliwa mzumbe university mbeya campus Na mliokwisha maliza usajili je mpaka kumaliza process zote umegharamika Tsh.ngapi? Ukichanganya Na ada Yao uliyotoa mpaka kukupokea? Nataka nijue Ili nijipange nisije kwenda kuumbuka mwisho wa siku nikose kupokelewa.
  4. M

    Kwa waliochaguliwa Eckenforde Tanga university, maisha ya Tanga mjini.

    Wadau,Kama umechaguliwa Eckerniforde Tanga university au Chuo chochote kilichopo jijini tanga,Mimi Ni mwenyeji ambaye nimezaliwa Na kuishi Sana jijini tanga,,,,, maisha ya tanga hayatofautiani Na ya mbeya kwa bei ya vyakula,tofauti yake ipo kwenye upatikanaji wa pesa Tu. Tanga tuko nyuma katika...
  5. M

    Transfer ya chuo

    Kikubwa we nenda Tu Chuo unachotaka kuhamia,Na wanakupa barua ya nafasi unayotaka kuhamia,wakikupa barua Kama utaweza wapandie TCU kulekule Dar ukiwa Na hiyo barua ya Chuo.Si unajua tena Tanzania bila kukaziana sura huwezi kufanikiwa.
  6. M

    Transfer ya chuo

    yaani hata Mimi nimesubiri Sana lakini nilichofanya Ni kwamba nimekwenda Chuo ninachotaka kuhamia,Na uzuri Chuo hicho huwa wanawasiliana Na TCU Na kuwaomba kuwa Kuna wanafunzi kadhaa namba zao Fulani,wamechaguliwa Chuo Fulani,kozi Fulani,ufaulu Wao Fulani,Na wanataka kuhamia Chuo hiki...
Back
Top Bottom