Hivi karibuni TCRA ilitangazia umma ya kuwa wameipiga star times faini ya shilingi mil 100; kwa kosa la kukaidi kuendelea kulipisha Chanel za Local (free to air channels): lakini pamoja na faini hiyo mpaka hivi sasa wamekaidi agizo hilo! Na channels tunalipishwa kama kawaida!
Swali la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.