Mazoezi ya kila mara na shughuli za kimwili za kila siku hudumisha msukumo wa kawaida wa damu na hudhibiti kisukari.
Shughuli za kimwili huondoa hatari ya kisukari, na msukumo wa juu wa damu hivyo basi kupunguza hatari ya ugonjwa sugu wa figo.
Fanya mazoezi at least mara 3 kwa wiki
Your...
Njia za kuondoa sumuu hizi jamani nani kazitumiaaa maana nimepata mrejesho mzuri sanaaaa kumbe watu wanasoma af wanatulia wanajaribu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji817]
BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE}
[emoji1428] Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.
CHANZO CHA BAWASIRI
[emoji2389] Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva.
[emoji2390] Tatizo...
Kitu tunaposema ajabu ni kitu flani ambacho kinashitusha watu ndomana hapo wengine wameanza kusema nisumu kwasababu hawajui kwaiyo inaonekana kwao mi ajabu au maajabu " kitu flani watu wasichokijua au kisichoonekana kuwa chakawaida"
An 8-ounce (230-ml) cup of green tea contains between 30 and 50 mg of caffeine. The recommended maximum amount of caffeine per day is 400 mg,
Kiwango Nikidogo sana haiwezi kupandisha pressure ya mtu , ila Coffee yakawaida ndo inaongeza pressure, Green tea ishafanyiwa research na imeonekana...
Analysis of clinical research shows that green tea can reduce systolic blood pressure (the top number) by up to 3.2 mmHg and diastolic blood pressure (the bottom number) by up to 3.4 mmHg in people with or without high blood pressure.
Pole kama hapo tumia supplements zilizo na green tea zitakusaidia na za mzunguko wadamu zinazoweza kutoa Bad Cholesterol LDL (low density lipoprotein) kwenye mishipa ili damu iweze kufloor vizuri na pressure itakuwa sawa kabisa.
Kama Hauna Access yakuzipata Piga nikuelekeze kwakuzipata 0657 744 363
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.