kauli yangu haijalenga kuhamasisha ,ila kuwahimiza wale ambao wameanza kufanya na wanatamani kuacha bado ni muda sahihi kwao,kwani wakiendelea kufanya hiki kitu kwa muda mrefu madhara yatakua makubwa ukilinganisha na wakiacha sasa.
kama vile unatamani kusikia nina mtundu mkubwa ili roho yako ifurahi,binadamu hua siku zote hatutakiani mema ,wewe umejuaje kama hakuna tundu dogo na kubwa !!!,unazani mtu aliefanya huo mchezo kwa miaka mingi tena kwa size tofauti tutakua sawa uko sehemu!!
well nimeshauriwa with passage of time the hole will close kwa sababu bado ni dogo sana na kuna dawa nimeelekezwa ya kutumia natumai itakua msaada kwangu.
sio tangazo,shida mnataka kukataa ukweli wakati ni tatizo lipo kwenye jamii yetu,shida ni kua hata waofanya haya mambo ukiambiwa wanafanya hauwezi kuamini.
Habarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.