Recent content by MJAMAAHALISI

  1. MJAMAAHALISI

    Kipigo cha Polisi, Halima Mdee apima na kukuta kavunjwa mkono wake wa kulia

    Tamko linadai kuwa ilitumika nguvu ya wastani. Swali la kujiuliza, nguvu ya wastani kumtoa mtu kwenye gari kisha kumvunja mkono na mwingine unafanyia gwaride juu ya mgongo wake. Kwanini usiende hata chuo cha uongo ili uongo wako uendane na ukweli japo kidogo? Maendeleo hayana vyama.
  2. MJAMAAHALISI

    Huu ni uthibitisho kuwa Mahakama zetu zipo huru, haziingiliwi na watawala

    Katika kuthibitisha hoja hiyo, nitafanya rejea kesi ya Mbowe na wenzake. UTHIBITISHO WA I Kesi iliyodumu zaidi ya miaka miwili na hukumu yake yenye urefu wa kusomwa masaa 4 aliweza kuchambua ushahidi wa mashahidi wote, kutafuta kesi za rejea na kufanikiwa kuiandika yote katika masaa 5...
Back
Top Bottom