Mkuu kwanza pole kwa kampeni, Kwa kinacho kufanya usiwaelewe watanzania ni nini ilhali mama yupo pekee yake, njia nyeupe!!!
Ndugu Mwashambwa ugumu upo wapi???
siku watanzania wenye wakichagua kiongozi wao bila kibambikiziwa na kuchomekewa na chama, mbona utawaelewa, urawafurahia!!!
Mkuu...
Mkuu picha huzioni, watu wanachambua maana zake elfu moja!!
Ndugu wakulaumiwa ni mpiga picha sio mtazamaji. Wewe mamaSamia2025 vipi???
Yaani umesahau kuwa mwenye macho haambiwa tazama??!
Kwa hili, umechemka vibaya, unajichoresha tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.