Si vibaya mtu kusema ukweli wake, ni kweli anataka mume. Natoa ushauri angeweka na picha yake tumwone kama vile First Lady ingehamasisha. Maana kidogo nifikiri ni huyo First Lady, kwa kweli ana mvuto. Mimi ningejitosa kuwa mwombaji wa uchumba. Tunaomba picha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.