😮😊 Main theme ya uzi sio kumzuia asiwe zaidi ya wengine. Ni kumsaidia atafute passion. Then anaweza taka awe best, hapo ni sahihi kama haimpi stress na anafuraha. Kwa point of view yako ni sawa na kumchukua Bill Gates na kujaribu kumfanya awe best kwenye mpira wa miguu na sio passion yake...
Nakuelewa na naomba nisiwe misquoted. Sio vibaya kuwa na Benz, kama unao uwezo waweza kuwa nayo as long as utakuwa na furaha na sio kuonekana una Benz. Kuna kuishi na kupretend unaishi....mambo mawili tofauti.
Habari wana JF, natumaini mtakuwa wazima. Hili litakuwa chapisho langu la kwanza humu jukwaani na ningependa kuongelea kuhusu impact ya hayo mambo mawili( furaha na utajiri) kwenye saikolojia ya mwanao.
Kwanza nitatanguliza kisa hiki;
Nina rafiki yangu wa kitambo mno---nadhani toka tunasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.