Recent content by MISULI

  1. MISULI

    Siku mkija kugundua aliyetaka kutoa uhai wa Tundu Antipas Lissu sio Magufuli ila wahuni walitumia fursa mtakubali? Na leo wanataka kumnyonga

    Nachoelewa ni Unamchukia Magufuli hadi kwenye mifupa yako.Hujawahi kuwa Positive kwa swala lolote la Magufuli. Huna unachofaham jinsi gani mtandao ulikua unafanya kazi.Makonda ni Waziri,Siro ni RC.Kuna mambo yako juu ya uwezo wako, kwa chuki zako huwezi kuelewa. Just imagine IGP Siro ndio alikua...
  2. MISULI

    PostGE2025 Mashtaka ya ICC: Wakichomoka kwenye kesi ya maandamano, bado watakabiliwa na kesi ya enforced disappearance. Wana wakati mgumu sana

    Hivi huko shuleni huwa mnasomea ujinga?Umesoma Vizuri katiba ya JMT kuhusu ukomo wa kiti cha urais?
  3. MISULI

    Hakuna CHADEMA mwenye ubavu wa kumzuia Kigaila wa CHAUMMA au Shekhe Ponda wa ACT kutumia uhuru na haki yake ya kikatiba ya kupiga kura Oct 2025

    Labda we na family yako ndio mtapiga kura. Wenzio CCM wamepagawa we unaleta porojo humu
  4. MISULI

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORMS NO ELECTION
  5. MISULI

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORMS NO ELECTION
  6. MISULI

    Fumigation iliyopulizwa CHADEMA iongezwe, bBado kuna wadudu wanatambaa!

    Huo uchaguzi wananchi wataenda kupiga kura kati ya nani na nani?
  7. MISULI

    PreGE2025 Chama kile kitaiba kura ya nani ikiwa CHADEMA itasusia na kuandamana siku ya uchaguzi?

    Siku ya uchaguzi itakua siku ya mapumziko, wengi watakua nyumbani nyuma ya keyboard wakifuatilia yanaendelea kwenye uchaguzi. Serikali itajaza polisi kila kona,Chadema nao watakua busy kuhakikisha wanaandamana. Kwa hofu ya usalama, HAKUNA RAIA ataenda kupanga foleni na kupiga kura na mwisho...
  8. MISULI

    PreGE2025 Lissu: Uchaguzi hautafanyika wananchi mkakubaliana na msimamo wetu mkaandamana siku ya uchaguzi

    Ukitangaza maandamano siku ya kupiga kura maana yake siku hiyo wengi hawatatokea kupiga kura kuogopa vurugu.Polisi badala ya kulinda vituo vya kura watakua busy kupambana na waaandamanaji. Automatically uchaguzi hautafanyika.Sijui kama kuna mwenye akili TIMAMU ataenda kupanga foleni katikati ya...
  9. MISULI

    Kauli ya Lissu kwamba haki ya kupiga kura sio ya kikatiba inahitaji ufafanuzi zaidi wa kisheria

    Katiba ibara ya tano iko wazi kabisa. Sijui Lisu anatumia katiba ya nchi gani.
Back
Top Bottom