Recent content by Mistaritz

  1. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Hizo nilizo post ni free, manake pm nauizwa sana
  2. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Inawezekana kiongozi. Ila ningependa sikia demo uliyowahi fanya
  3. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Song mpya pia nimeweka, unaeza cheki link Karibuni wote. Zipo nyingi ukitaka privet nikutumie nicheki pm. Hiyo uki ni pm nakupa melody yake
  4. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Melody ipo hapo
  5. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Wote mnakaribiswa wapenda good music. Nitaongeza ngoma nyingine kadri yamuda unavoruhusu.
  6. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Usijali, unaweza nicheki pm pia au email mistaritz@gmail.com Kesho nita upload melody yake. Sema uimbaji ndo tatizo kwangu . Ila nimejitaidi kadri ya uwezo wangu.
  7. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Mimi ninaandika nyimbo. Ningependa pata mtu wakuimba. Huo nimfano wamashairi niliyoandika. Ukipenda kwenda studio ku record hakuna tatizo ni free kabisa. Natumaini umenielewa kiongozi.
  8. M

    Natafuta waimbaji/Wasanii wanaojua kuimba

    Habari zahumu ndani. moja kwa moja kwenye point. Mimi nimwandishi/mtunzi wa nyimbo najambo hili nalipenda sana, huwa naandika nyimbo kwa muda wangu waziada. Ningelipenda pata mtu/ watu watakao imba mashairi yangu, nayatoa bure kabisa. Maishairi yangu naandika juu ya beats ninazozikuta Youtube...
Back
Top Bottom