Recent content by miss of queen

  1. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    jaman wewe mtu omba yasikukute walai. unajua nini kilinikuta hadi kufanya hvo?
  2. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    ndugu yangu ktk hili makosa ni yangu kwani wakati tunaanza mahusiano kabla hata yakupenziana aliniuliza sana juu ya hili lakn nilikataa sana. alinisihi nimwambie hata kama nilifanya kwa bahati mbaya au kwa kulazmishwa but niligoma. na akasema pia yeye anazngatia uaminifu kama siwez uaminifu...
  3. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    yaan ungejua kwa sasa navoogopa na kujuta kwa nini nilienda kwa waganga ndg yangu usngema. kwanza nkienda kurudi tu jamaa anahadisia yote yalofanyika huko, na adai kwamwe waganga hawatanisaidia na waganga na yeye ni wapnzan had anakufa. niliogopa sana.
  4. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    jaman sikutumia kiziz. kuenda kwa waganga kulitokana na kuchanganyikiwa tu na hofu ya kuvunjika ndoa yangu, nisamehdn bure waungwana nahisi nimemzasiri mwanaume mwenzenu
  5. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    mimi jaman huyu mwanaume nahisi mapenz aliyaanzia kwangu yaana nimedodosa na kumtega kwa kumia namba zngne lakn mkaka wa watu ni hakuna udanganyifu kwenye ndoa. najuta kwa nini ckukutana naye kabla ya kutoa mimba. mungu wangu naomba unisamehe.
  6. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    jaman mdada mi nilichanganyikiwa tu sikushauriwa na mtu kabisa. watu wananitukana japo wapo wanaonipa moyo, kaz kweli duu!
  7. M

    Napoteza ndoa yangu, kisa nimemwambia nilishawahi kutoa mimba kabla ya kuwa nae

    Niko ndani ya ndoa ni miaka miwili na tuna mtoto ana mwaka na robo. Mme wangu ni mstaarabu sana hivyo nampenda, ndoa inapotea hivi: Mme wangu amegundua kuwa nishatoa mimba kabla ya kuwa nae na nilimpa ukweli huo baada ya kuniuliza, jambo hili limefanya mapenzi yake kwangu kuwa ziro. Nimejaribu...
  8. M

    Elimu ya kibongo jamani duuh!

    wanajukwaa nawasalimu kwa iman zenu. nimeshangaa sana leo nilipokutana na mwalimu wa cheti ktk mazungumzo nijikuta namuuliza "hivi tanganyika ilikuwa jamhuri tangu lini?" majibu yake yakawa hivi "ilikuwa 1964 bwana" nilisituka sana hii elimu ya kibongo inaelekea wap kama mwalimu hajui mambo...
Back
Top Bottom