MAPITO (Sehemu ya Pili)
Ilipoishia..
Nakumbuka Nina siku tatu Toka nitoke uzazi,alikuja na akaniambia ana habari Nzuri za kuniekeza nikafurahi nilichoelezwa...
Ananiambia unajua Kuna dada tulikuwa tunapendana Mimi naitikia tu eeh yaani hapo ninatamani nimpige hata mabanzi au hata nimrukie...
Nimekaa kwenye ofisi na siyo ofisi ndogo,ofisi kubwa sana,Tena ninaimiliki mwenyewe iliyosheheni furniture za thamani na kila kitu nilichokuwa nakitamani muda wote wa maisha yangu,ninayo Amani ya moyo na ninaona Nina kila kitu ambacho niliomba muda wote kwa Mungu wangu yaani kiufupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.