hivi nyie wauza koni ndo makusudi au. mkiona hakuna wateja mnakuja nyumba za watu alafu mnawaita watoto ili wakiona vitu vyenu waanze kulia ili wapate kununuliwa na wazazi wao achane hizo bana maisha magumu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.