Recent content by mirror01

  1. mirror01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    There are alot of factors that can make you to attain the state which you're in daydreaming & govt control all those variables...anyway maintain your insanity dada
  2. mirror01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Shida mkuu hujasoma ..yani ni afadhali mbuzi....kila kitu serikali inaingilia..kwanzia kwenda kufanya KAZI nilazima iamuwe employment rate...kupata hiyo bia moja nilazima bei yamwisho uijuwe baada ya Kodi ... anyway hutanielewa kwasababu ulizaliwa kama hasara kwenye jamii
  3. mirror01

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    1.Kwanza nikiri nimekosea kutumia CCM haikupendi tena ila umejilazimisha na kujipendekeza mda mrefu kwa CCM ila hakupendi wanapenda watu kama wakina Magoti 2. Kweli kama hupendwi unamia Sana inakata kama vile Mwigulu aliumia Sana wataafu wanapigwi makofi yeye hakupigiwa au kushangiliwa 3. Acha...
  4. mirror01

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Narudia Pascal umeona hupendwi tena na CCM, imeamua kupigiwa makofi na kuwashangilia watu kama wakina Magoti ...kwenye kisiasa inaumiza Sana kama hupendwi.Nakushukulu Sana kwa kuachana na uchawa.umekuwa unaishabikia mda wote ule CCM ila wanalamba teuzi kama huyo jamaa? Aseeee .liwalo na liliwe...
  5. mirror01

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

    Ndiyo. Kwa nini hata anaweza kufanya hivyo? Kwa sababu uhuru wa mawazo na wajibu wa kijamii humpa mwandishi nafasi ya kutafakari na kueleza mtazamo wake mradi tu afanye kwa busara, uadilifu na heshima kwa hisia za wengine.
  6. mirror01

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

    Mimi nipo pamoja na Pascal hadi auwawe, hata ningekuwa Mimi ningekata tamaa ..kuishabikia CCM mda wote ule wanalamba teuzi wakina Magoti? Aseeee... Pascal ameona isiwe nongwa liwalo na liliwe ...ametangaza vita dhidi ya selikali haramu.
  7. mirror01

    JamiiForums Tanzania Ni ipi sera ya CHADEMA kwa sasa baada ya No Reforms, No Election (NRNE)?

    Hatujadili na wauaji nyie.....stop extra judicial killings nguruwe wewe
  8. mirror01

    JamiiForums Tanzania Ni ipi sera ya CHADEMA kwa sasa baada ya No Reforms, No Election (NRNE)?

    Niipi Sera ya CCM baada ya kuua raia bila hatia???
  9. mirror01

    JamiiForums Tanzania Hivi Samia, Lissu amekukosea nini?

    Udini unamsumbua ...Zitto alileta vurugu kule Kigoma baada yakupigwa chini na Baba Levo ..alikamatwa dakika mbili tu akaachiwa , lssa Ponda kwa mara kadhaa amemushambulia ndugu Samia ila hakuna siku moja akakamatwa...jiulize Gwajima au Father Kitima nini kikawapata.Akimuona Mh Lissu kwasasa...
  10. mirror01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wito kwa Gen Z wetu: Disemba 9 tusiandamane, kuandamana bila malengo ni ukichaa. Serikali, tafadhali usiwapige Risasi vijana wetu, tuwasaidie!

    Siwezi kushauliwa na mtu ndoa ilimshinda ..edelea kupongezana na wakina Chalamila kama vile wanajipongeza na bia moja.for your on information D9 tunaingia uwanjani full kujihami...vibabu vichaa kama nyie ingieni pangoni faster otherwise tar hiyo kifo ni kifo tu.Tumekuelewa Sisi Genz nivichaa
  11. mirror01

    JamiiForums Tanzania Mwigulu, umevunja sheria No. 1 &4 za 'Power', 'Never Outshine the Master', 'Always Say Less than Necessary'

    Mimi nahisi ile bahasha ili letwa na mpambe wa ndugu Samia pale mjengoni ili pigwa swap njiani inawezekana waziri mkuu aliteuliwa Abduli siunajuwa tena uhuni kwa rais wamawe ali piga intercept
  12. mirror01

    JamiiForums Tanzania Twaha Mwaipaya: Haya sio mabanda ya kuku. Ni nyumba za Jeshi La Polisi Central Dodoma

    Papala yote ile yakutu ua kumbe yanaishe kerne ya mbilikimo?? Shame on you.
  13. mirror01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wanazuoni wa kiislam Iringa: Haki itafutwe pakiwa na amani, Vijana pokeeni mkono wa maridhiano kutoka kwa Rais Samia

    Kama walijidanganya tutaomba msamaha bandae ila kwa sasa tuwadhuru ili tubaki madarakani ..it's too late ...mumemwaga damu lazima mungu aamue ugovi vinginevyo subirini #D9
  14. mirror01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Itafutwe namna serikali izungumze na viongozi wa upinzani na wanaharakati kuona tunamalizaje haya Mambo. Maana!

    Kwanza D9 nilazima tujihami, kwakifupi tutamalizana tu...tutaingia na silaha mda wakubemberezana umekata. R.l.P Nyerere, JPM , Mandela. n.k ... karibu uraini Mh TAL.
Back
Top Bottom