Recent content by mirajihamisi

  1. M

    Kikwete awapa polisi fundisho

    Tuache kulalamika kila kitu cici ni watu wa kulala mika tu, na lazima tuelewe kila jambo lina utaratibu wake,huwezi kulalamika tu bila kufahamu ykin ya jambo hilo.Na hiv vitu vinaturudisha nyuma sana. leo hii wa TZ ni watu wa kulalamika na hatuna ufumbuzi juu ya kile tunacho kilalalmikia ebu...
  2. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    ni kweli ni vyema kuheshimu taaluma ya mwenzio, ktk kusoma hakuna kitu rahisi kila fani inahitaji juhudi na bidii zaidi.kudharau fani ya mwenzako na kujiona wewe ndo bora si jambo la busara kwani mwisho wa siku taaluma zote hiz hutegemeana ndipo mambo yaende sawa ,kwa mfano Daktari akipelekwa...
  3. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    NI VYEMA MANENO YA MTU HUMTAMBULISHA WASIFU WAKE SASA KAMA NENO PIMBI NDO NIN SASA AU TUKUELEWEJE NI VYEMA KUWA MSTAARABU.KWA SABAU HATUTO ZINGATIA ULICHOKIANDIKA KWA SABABU WEWE UNACHUKI BINAFSI NA USIKUBALI KUTUMIKA Mh. wembondo. hunahoja ya kimsingi. KIJANA HAPI NI MCHAPAKAZI NA NI MTU MAHIRI...
  4. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    MWINUKAI wewe kimtazamo ni mtu wa chama fulani umetengeneza kitu flani kwa sababu eti HAPI yupo chama ambacho wewe upo tofauti nacho sasa hapo huwez kutenda haki,kwasababu maelezo yako yameambatana na chuki flani hivyo haya wez kuzingatiwa.BADO HAPI ANATOSHA KUWAKIONGOZ NA TUMSAPOTI KIJANA...
  5. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    MWINUKAI wewe kimtazamo ni mtu wa chama fulani umetengeneza kitu flani kwa sababu eti HAPI yupo chama ambacho wewe upo tofauti nacho sasa hapo huwez kutenda haki,kwasababu maelezo yako yameambatana na chuki flani hivyo haya wez kuzingatiwa.BADO HAPI ANATOSHA KUWAKIONGOZ NA TUMSAPOTI KIJANA...
  6. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    Hapi si msaliti na ni kijana mchapakazi, istoshe pia ni kijana mwenye misimamo yake, hii inajionyesha kutokana na ngazi mbali mbali za uongoz ambazo hugombania na wale wanaompigia kura humchagua kwa kura nying tu, na hii inajionyesha pale nyota yake ya uongoz toka SHULE YA AWALI,SHULE YA...
  7. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    Sisi vijana wenzako ndio uliotufuata kwa kutushauri kuwania nafasi hii na nyota yako ya uongozi imejionyesha mapema nakumbuka tangu ulipokuwa pale chekechea lutheran mnamo miaka ya 1993 nzega ulichaguliwa kuwa kiongozi na ulidumu kuwa kiongozi kwakila hatua ulioifikia mpaka Udsm.hiv kama mtu...
  8. M

    Wasifu wa Ally Salum Hapi

    Hiyo story iliyotolewa hapo juu kuhusu Hapi inamashaka, imejawa na chuki binafsi,majungu na pia ipo ktk kurudisha nyuma harakati za maendeleo la taifa letu.inawezekana ni kikundi maalum zid ya kumpinga Hapi. Ukweli ni kwamba hapi ni kijana mahiri,mchapakazi na ci mtu wa makundi.hiv mtu...
Back
Top Bottom