Nimejikuta nacheka mwenyewe hapa,man kwanni unaona Kama hautendewi haki?.japo kwa picha ya baadae akiishiwa mshua atakutegemea kwa namna moja au nyingine.pia labda mshua amesha kuona unajitambia kishule chako,Sasa tumia kishule chako ku-money.
Embu tuoneshe wanavyo fanya uko marekani au tupe uzoefu ulio uona uko.mmi mchimbaj mdogo mdogo wamadini aina ya dhahabu.karibu nchi ya amani na upendo,ajira hazipo ila kazi zipo.
thabit Karim;unacho kisema nakuelewa vzuri.niliwahi kwenda sehemu moja mpanda kijiji kinaitwa st maria nikakuta wananunua mpunga wanapeleka kahama.daah nikajifanya mtarii wa ndani nikaenda hadi kahama kupitia tabora kutokea Njia ya lumambo kahama daah.walikuwa wanaenda Mashineni wanakoboa alafu...
BT:nimekaa mda nikiwaz cha kufanya ila Madogo ndo walinifikilisha sna,maana kodi yenyewe hadi hela irudi siyo leo.ndo maana siwazi kwahiki nilicho kifanya nimefumba macho kabisa.alafu naenda kukaza mgongo tena hadi 2024 December nitakuwa najua nachezea wapi?nimejipa miaka miwili ya kutesa Mwili tena
Ngapulila:mmi biashara ya magari hapana,kunawatu wanazijua hizo biashara ila siyo mmi.yupo mmoja aliuza mabasi yake mwanza akaenda mbeya kuwekeza kwenye mpunga.nikafatilia nikasikia Jamaa alisema kisa cha kufa mapema na presha yanni.ndo nasikia anaingiza hela kwa sasa kuliko kwenye magari alipo...
Tangantika:umenipa hongera ila ktk kipindi cha penati umepaisha na ndo unasema ndg.uzuri umekuja ktk kipindi kizuri pia,unakitu cha utofauti umekuja ninako waza ila nisaidie/tusaidie MADINI uliyo nayo pia ahsante.
Enkulu:habar ndg,unacho kisema hapa uko sawa kabisa.hadi sasa nimefanya ila ktk akili yangu nimesema haipo ktk hesabu zangu ila kwa walio toka ktk kiuno.maana siku moja niliwatoa wakasafishe macho,nikakaa pembeni najifanya nachezea simu nika waangalia madogooo...likaja wazo hivi nikikato moto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.