Recent content by MINESOPOTAMIA

  1. MINESOPOTAMIA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nimekumbuka sana kuna mzee alileta uzi hapa alikula huko miaka ya 70 na mpaka anasimulia anakumbuka hadi binti alikuwa amevaa nn.... Halafu kuna yule alikula kichaa...... Wewe ni kisa kipi cha mdau aliyekula kimasihara ambacho kilikuingia na hutakisahau
  2. MINESOPOTAMIA

    Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

    Hapo kuna sheria ya All or nothing lazima itumike.... ama uamue kumsamehe kwa kujifunza kusamehe na umsamehe yeye na rafiki yako ama dai talaka.... zaidi ya hapo utakayeumia ni wewe.... Hints Msamaha ni muhimu zaidi kwako kuliko kwake... Unasamehe si kwa sababu ya yeye alivyo la hasha ni kwa...
  3. MINESOPOTAMIA

    Breakup ya kwanza ilikuaje?

    Ukweli mkuu Hakuna aliye salama kwenye mapenzi Hakuna ambaye mapenzi hayajamnyoosha/hayatamnyoosha Wengine wanasema na wengine wanaugulia kimya kimya.... Kuna idadi kubwa ya watu (wanaume kwa wanawake) waliobadilishwa na mapenzi na wakawa watu wa ajabu sana.... Unaweza ukaona mtoto wa mtu...
  4. MINESOPOTAMIA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mke wangu ameenda kwao Moshi kula Sikukuu.... kila nikiwaza kuwa atakutana na maclass mates wake naona kabisa ataliwa......
  5. MINESOPOTAMIA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu uzi 1. Umewapa watu wachumba 2. Umewapa watu watoto 3. Umewasaidia madomo zege nao wakapata mbinu za kula 4. Umewafanya wengine wakala za uso na kupata aibu.... 5. Umewaunganisha watanzania wote wenye mamlaka na wasio na mamlaka 6. Umenisimamisha mkunyenye mara 9,657,765.
  6. MINESOPOTAMIA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mpaka sasa naamini...... Nimesoma kimasihara za watu wa kila aina kuanzia watu wa chini sana kama mm mpaka hata watu wakuu sana kwenye hii nchi...... Unaweza ukawekewa kimasihara ya mtu hapa ukaanza kusema Chai na kumbeza sana kumbe ni kimasihara hata ya Waziri flani au mkurugenzi flani...
  7. MINESOPOTAMIA

    Mpenzi wangu ananilazimisha nizame chumvini

    Sa we utaachwa na kila mtu
  8. MINESOPOTAMIA

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Thresome ni kitu wengi wanatamani sana sema kwa mazingira ya kawaida kupata ni ngumu...... mliopata tupeni maujanja tafadhali.......
  9. MINESOPOTAMIA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kauli ya kuingilia December..... Kumla kimasihara mwanamke haimaanishi yeye ni mrahisi... mwanamke uliyemkula kuna wadau wanamfukuzia karibu mwaka na hawajaambulia kitu.... so tuwaheshimu sana wanawake wanaotutunuku na kamwe tusiwatumie kama kigezo cha kusema wanawake ni warahisi........
  10. MINESOPOTAMIA

    Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Saudi Arabia, ranked 53rd in the world, are on the verge of beating Argentina, ranked third. Mhindi kashavuna huko
  11. MINESOPOTAMIA

    Ukitaka kuoa mwanamke wa Kikristo hakikisha ana sifa hizi

    Kuna wanawake tunakula huku tena kimasihara yaani kwa muonekano wala humdhanii.... na unakuta kuna mdau kwake huyo ni wa malengo kabisa...Mungu saidia
  12. MINESOPOTAMIA

    Shukrani kwa zawadi ya marafiki

    Kuna wakati katika haya maisha unaweza kukutana na changamoto ikakutesa kwa kipindi kirefu, ila siku moja ukakutana na mtu akakutoa kwenye changamoto hiyo kwa kipindi kifupi sana. Tiririka hapa kuonyesha thamani kwa marafiki ambao wamesimama nasi kuliko hata ndugu.
  13. MINESOPOTAMIA

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Hapo kwenye Threesome ya wanawake wawili na mwanaume mmoja na ukute huyo mmoja ni msagaji na mwingine ndio anafundishwa/anafanya kwa mara ya kwanza na ww kidume ndio unatoa technical assistant...... Ni matamanio yangu
  14. MINESOPOTAMIA

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Hizi notes kaka shetani anazipitia na anashangaa sana....
Back
Top Bottom