unakutana na mwanaume, mnabadilishana namba, mnakuwa marafiki, unagundua yeye anaishi pekeyake na wewe unaishi peke yako. Cha ajabu anapogundua tu kuwa unaishi peke yako anang'ang 'ana aje kwako kila siku upike ale, wala hawezi hata siku moja kukukaribisha kwake. hivi mwanaume wa hivi anaupendo...
Ndugu zangu poleni na majumkumu, nipo namfanyia mdogo wangu application ya NACTE (certificate), nimezowea kupitia vyuo kadhaa kabla ya kusave CHOICE, naangalia slot na fee ya chuo nakuwa nanote kwenye karatasi baadae natulia na kufanya CHOICE, muujiza ulionitokea jana usiku, wakati nikiendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.