Tunashukuru sana wakulima binafsi, taasisi za serikali na mashirika binafsi na wadau mbalimbali wa kilimo kwa kuweza kushirikiana nasi kwa namna mbalimbali katika kukuza sekta ya kilimo kwa mwaka 2019, sisi ni nani hadi tusimshukuru Mungu kwa neema zake alizotujalia, japo changamoto hazikuwa...
MASASI FARMING & AGRO BUSINESS
Punguzo la bei katika kufunga mwaka, jipatie uwezo wa kumiliki greenhouse na nethouse kwa gharama nafuu zaidi hizi zitakuwezesha kulima kwa malengo maalum bila kuhofia kuathiriwa kwa mazao kutokana na mvua au wadudu.
1. Greenhouse mita 6 kwa 12 bei milion 3...
MASASI FARMING & AGRO BUSINESS
Punguzo la bei katika kufunga mwaka, jipatie uwezo wa kumiliki greenhouse na nethouse kwa gharama nafuu zaidi hizi zitakuwezesha kulima kwa malengo maalum bila kuhofia kuathiriwa kwa mazao kutokana na mvua au wadudu
1. Greenhouse mita 6 kwa 12 bei milion 3...
Usikurupuke eleza ulichotapeliwa ,,,kuna watu mpo kwa ajili ya kuchafua taasisi za watu ,na bora umeweka kivuli maana ningeshakuchukulia hatua za kisheria ,,,sipendi upuuzi kwenye kazi zangu .take care
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.