Kaka pole hiyo sio thyroids issues ?kama goitre au lump ,itakuwa upungufu madini ya iodine hayo ,nenda hosp upime Thyroid function uone au tafuta hiyo iodine na selenium supplement ule uone ,nakiete phamarcy naona watakuwa nazo
Kuleni vitamins jamani maana most of us we don’t get enough vitamins through food ,tunatakiwa tu add supplements ,hiyo Dalili ya low vitamins b kwa uelewe wangu ,vizuri kama umepata Tiba
Kaka ,maybe una low count sperm ,tafuta ,zinc vitamin ,Vitamin C pamoja na vitamin D hizo na fungreek seed sijui kwa kiswahili zinaitwaje anza dose hizo kuboresha sperms hizo uone ,maana la sivyo utaja pewa watoto si wako 🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.