Recent content by mimimtu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    haaa haaa haaa mkuu utasababisha wote waliosoma food science waanze kuwa na hofu,mbona sio huyo mkuu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    mkuu nikiweka hapa ntakuwa kichwa panzi kama wao,ngoja nizichambue ambazo sio rahisi kugundulika kwa sura thn nifanye mchakato wa kuingia jukwaa la wakubwa afu ntazitupia kule
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    hapana mkuu me naoa mwakani,leo nikimfanyia hivi mshkaji,kesho yatakuwa kwangu,si unajua kipimo unachopima ndicho utakacho pimiwa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    umekurupuka huko hata mswaki hujapiga eti "nnjaii". niweke chai hapa ili iweje sasa na kwa faida ya nani
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    upo sahihi kiongozi wanahitaji ufundi mpya daily lakini usifike huku kwenye kujidhalilisha,itakuwaje watoto wao wakija kuona ujinga wa wamama yao watakapokuwa watu wazima
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    hahaha haa bazaz sijataka kuficha ficha hizo code ndio maana zinajulikana, nimeziweka hivi ili muhusika ajue may b inaweza kumfikirisha ili ajue ujinga anaoufanya
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

    Wadau habari za asubuhi maana wengine tumeamka na mahangover! Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna sista mmoja tunapiga nae kazi kwenye mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kwenye kampuni binafsi (ya vile vinywaji pendwa vya kikubwa) LTB, ni dada wa heshima sana na mcheshi ila ndio amenifanya...
Back
Top Bottom