Recent content by MILIKI

  1. M

    Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Nilifika kijiji flani Mlimba mliman karibu na mpaka wa Wilaya ya Kilolo. Duka na genge halina muuzaji bali orodha ya bei ya kila kitu imewekwa. Unajihudumia unachotaka unaweka hela yako na kuchukua chenji na kuondoka.
  2. M

    Kujamba (kutoa ushuzi) kuna faida kiafya?

    Dah, umenfrahsha sana, we mkali.
  3. M

    Maua Seminary - padre Ladislaus Mbundu amefariki

    Hakika kabadilisha maisha ya wengi wetu, kwani alikuwa mfano bora ktk suala la kufanya kazi kwa bidii. Nakumbuka zaidi cku za ushirika, Azimio, mwongozo, ujamaa na umoja houses ilikuwa ni full kuchapa kazi. Ee Mungu mwenye rehema umpumzishe ndugu LADISLAUS kwa amani.
Back
Top Bottom