Recent content by miles2020

  1. M

    Nina shida ya mkopo m 3.5

    kwa hiyo unataka niandike kwa lugha gani ili ionekane ni ngumu sana au serious sana? mimi nimeandika facts hali niliyonayo katika mambo ya fedha na mikopo..sasa unataka nini cha ziada??? wewe nini maana dhamana??? unajua we mtu mzima!!!!!!!!!
  2. M

    Nina shida ya mkopo m 3.5

    hiv umetumia akili zote kweli hapo???? wapi nimeita mwendawazimu??? nimesema hiv...nina vitu vya ndani..ina mana nyumba ina thaman kubwa kuliko mkopo ninaoutaka..so ikifikia kipindi nimekabwa ni bora niuze vitu vya ndani kuliko nyumba..sababu vitu vya ndani vikiuzika m3.5 unapatikani...kwa...
  3. M

    Nina shida ya mkopo m 3.5

    Mkuu nina leseni ya biashara Nina tin namba Nina bank ila siitumiagi mara kwa mara.. ili niweze kukopa huko mpaka niwe na zaidi ya miezi sita halafu mzunguko mkubwa saaana.. Mimi nina shida ya hela siku hizi chache NB: Ofcourse ndo maana ya kuweka dhamana.. nikishindwa atauza nyumba.. ila mtu...
  4. M

    Nina shida ya mkopo m 3.5

    Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu Dhamana ya nyumba ipo Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri..... Lakini pia haijafika miezi sita.. Tatizo jingine dhamana iko mkoani Kagera na mimi nipo...
  5. M

    MSAADA!!! wapi nitajifunzia PROGRAMMING na CODING Mwanza?

    Habari Naomba kujua sehemu wanakofundisha masomo ya computer kwa upande wa programming na coding kwa hapa mwanza. Ada ni sh ngapi?? na ni wapi? Binafsi sina msingi wa masomo ya computer...kwa hiyo sijui chochote kwa upande huo.. Asanteni
  6. M

    Biashara salon ya kike kati ya Katoro au Kahama

    hiv kati ya kutoka geita mpaka katoro, na katoro mpaka kahama..wapi kuna umbali mrefu??
  7. M

    Biashara salon ya kike kati ya Katoro au Kahama

    da! Mkuu umeniongezea kitu kichwani..nashukuru saana....
  8. M

    Biashara salon ya kike kati ya Katoro au Kahama

    Naomba kuelezwa kwa mwenye uzoefu na hiyo miji miwili. Ni mji upi unafaa zaidi kwa biashara ya saloon ya kike classic flani hivi? Je, bei za fremu mjini kati ni sh ngapi? Aina za wakazi wa mji huo je? Natanguliza shukrani
  9. M

    INAUZWA Sofa set na meza vinauzwa

    Karibuni sana
  10. M

    INAUZWA Sofa set na meza vinauzwa

    Kweli mkuu
Back
Top Bottom