Recent content by mikumiyetu

  1. mikumiyetu

    How to convert GPS coordinates

    Hii shida hata kwangu ipo sijui shida uwa nini
  2. mikumiyetu

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Eneo ulilopo kama speed ya airtel iko vizur chukua hiyo
  3. mikumiyetu

    Google pixel zina tatizo la kujizima ghafla?

    Hapa ndo changamoto ya hizi simu zina heat sana
  4. mikumiyetu

    Share your current internet Speed

    Ninyi wa voda uwa mnaunga vifurushi gani
  5. mikumiyetu

    Msaada: Live streaming World Cup!

    Mkuuu naomba hii link tena
  6. mikumiyetu

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nilikutana nao site mafundi wanapeleka fiber kwenye ofisi za nida huku morogoro nikawahuliza kuhusu kupeleka fiber majumbani wakasema iyo huduma bado kwa sasa
  7. mikumiyetu

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Sio siamini nimehuliza mkuu tu mwanakwetu
  8. mikumiyetu

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Wadau humu kuna mtu yetote amepata hii huduma afafanue wanavyosema bure hakuna kifaa chochote mteja anachotakiwa kununua?
  9. mikumiyetu

    Mita za tanesco

    Utofauti wao ni kwenye tarrif tu mteja wa tanesco yuko T1,na mteja wa Rea yuko T4 T1 umeme wa elfu 5 anapata unit 28 T4 umeme wa elfu 5 anapata unit 40 plus
Back
Top Bottom