Recent content by Mikidadi musa

  1. M

    RAGE atoa tamko zito

    Yaani kwa mpango huu hatutafika kokote viongozi wapo kwa masilahi binafsi na si timu kama wameshindwa waachie timu kuaza moja siyo ujinga...!!
  2. M

    KABURU: kirusi ndani ya Simba

    Hiko kitu ni kweli na ni tatizu kubwa sana katika timu yetu sasa imekuwa timu ya watu wachache wenye maamuzi na si timu ya wanachama hatutafika na migogoro haitaisha kamwe na soka letu litazidi kudidimia tu kila kukicha ukifanya vizuri msimu huu msimu ujae mgogoro soka letu wapi linaelekea mbona...
  3. M

    Serikali imeamuru katiba ya sasa ya tff ifutwe

    Ubaba ishaji tu soka letu we kiongozi unakaa madarakani miaka nane alafu unashindwa simamia uchaguzi je tutafika...!!
Back
Top Bottom