Hallow wanaJF, nna degree ya information technology ,ila ni miaka 2 ss cjapata kazi hata ya kujishikiza ,nazidi kuhangaika uku na kule kutafuta chochote ili niweze kuwasomesha wadogo zangu ,tafadhal naamin hii ni jamii kubwa yeyote mweny msaada wa kazi hata ya kujitolea na Mungu ambariki.