polepole apuuzwe anakitu cha roho mbaya kiko rohoni kwake kunakitu anaona hatendewi haki pengine kanyima madaraka makubwa aliyokuwa anataka hivyo roho yake imejikunja sana
yaani polepole ameishiwa point kasi hiki mpaka kufikia kuanza kuonea watu wivu, yaani anaona kabisa watu wapo ofisini yeye anafikiria vitu vyake vya ajabu ? huyu apuuzwe hana hoja tena
yaani mlivyo serious na kesi wakati tunawapotezea muda tu mnachekesha sana tunawazungushaaa mwisho tunasema hatuna nia ya kuendeea na kesi halafu mkasherehekee mseme mmeshinda kesi mbrura nyie
yaani nyie mnakuwa kama mapopoma sasa kesi inasogezwa karibu bado mnaona vibaya je ingesogezwa mpaka tarehe 30 september simngesema njama tena ?anyway tunataka kumuachia kisago kimemtosha
CHADEMA HAKUNA MWENYE AKILI HATA MMOJA HUYUNAYE SIJUI KALA MAHARAGE YA WAPI ANAJAMBA TU HAO STUDIO ETI VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE NANI ATAPIGANA HIYO VITA KWASABAB TU CHADEMA WAMEOGOPA KUSHIRIKI UCHAGUZI?
CHADEMA BADO MNA AKILI ZA KIPIMBI SANA SASA JESHI LINAINGILIAJE MABO YA UCHAGUZI SIYO KAZI YAKE HALAFU HIYO MIFUMO MNAYOLALAMIKA IMECHEZEWA KURA ZINAHESABIWA KWENYE MASANDUKU NA KUTANGAZWA HIYO MIFUMO INAHUSIKA NA NINI ? ACHNEB=NI UZWAZWA PIMBI NYIE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.