Recent content by mihapase

  1. M

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    kaandamaneni sasa mbona mko nyumbani mnaandika tu?
  2. M

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    polepole apuuzwe anakitu cha roho mbaya kiko rohoni kwake kunakitu anaona hatendewi haki pengine kanyima madaraka makubwa aliyokuwa anataka hivyo roho yake imejikunja sana
  3. M

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    yaani polepole ameishiwa point kasi hiki mpaka kufikia kuanza kuonea watu wivu, yaani anaona kabisa watu wapo ofisini yeye anafikiria vitu vyake vya ajabu ? huyu apuuzwe hana hoja tena
  4. M

    Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    form 4 aliyefeli lakini ndiyo rais wako wewe unauza mbunye na usomi wako nani zaidi mama mitano tena
  5. M

    Sarakasi: Tarehe ya kusikiliza Kesi ya Tundu Lissu Mahakama Kuu yabadilishwa, Sababu hazikutajwa

    yaani mlivyo serious na kesi wakati tunawapotezea muda tu mnachekesha sana tunawazungushaaa mwisho tunasema hatuna nia ya kuendeea na kesi halafu mkasherehekee mseme mmeshinda kesi mbrura nyie
  6. M

    Sarakasi: Tarehe ya kusikiliza Kesi ya Tundu Lissu Mahakama Kuu yabadilishwa, Sababu hazikutajwa

    yaani nyie mnakuwa kama mapopoma sasa kesi inasogezwa karibu bado mnaona vibaya je ingesogezwa mpaka tarehe 30 september simngesema njama tena ?anyway tunataka kumuachia kisago kimemtosha
  7. M

    CHADEMA walipaswa kumwandikia Msajili wa vyama vya Siasa hayo malalamiko yao na Siyo Mkuu wa Majeshi!

    SASA MWANAJESHI NDIYO AACHE KAZI ZAKE AMSIKILIZE MPUUZI MMOJA WA CHADEMA?
  8. M

    CHADEMA walipaswa kumwandikia Msajili wa vyama vya Siasa hayo malalamiko yao na Siyo Mkuu wa Majeshi!

    CHADEMA HAKUNA MWENYE AKILI HATA MMOJA HUYUNAYE SIJUI KALA MAHARAGE YA WAPI ANAJAMBA TU HAO STUDIO ETI VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE NANI ATAPIGANA HIYO VITA KWASABAB TU CHADEMA WAMEOGOPA KUSHIRIKI UCHAGUZI?
  9. M

    GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

    CHADEMA BADO MNA AKILI ZA KIPIMBI SANA SASA JESHI LINAINGILIAJE MABO YA UCHAGUZI SIYO KAZI YAKE HALAFU HIYO MIFUMO MNAYOLALAMIKA IMECHEZEWA KURA ZINAHESABIWA KWENYE MASANDUKU NA KUTANGAZWA HIYO MIFUMO INAHUSIKA NA NINI ? ACHNEB=NI UZWAZWA PIMBI NYIE
  10. M

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    HUKU MTAANI SHANGWE LIPO PALEPALE HUKO MITANDAONI MKO WACHACHE SANA KULIKO HUKU MTAANI MMMEONA NYOMI LA KAWE NA MWANZA? MNAONA AIBU NA MMEISHIWA POZI
  11. M

    Huenda Polepole akaishi kwa kukosa amani bali kwa kujificha for fear of unknown maisha yake yote

    UMEONA NANI ANALIA KUNA KITU GANI CHA KULIZA WATU TANZANIA YA AMANI HIII ?MNAJIDANGANYA SANA
  12. M

    Wakati Polepole anaendelea na destruction na character assassination, Anapaswa kuwepo mtu mwingine wa kuchochea uasi wa Umma (Civil disobedience)

    YAANI HAYO MAMBO MNAYAJUWA TU MTANDAONI HUKU MTAANI HATA WATU HAWAJUI KAMA POLEPOLE NI NANI WANASHANGAA KWANZA
Back
Top Bottom