Recent content by miggykl2005

  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigoma Ujiji hawajauelewa vema mfumo wa PEPMIS

    Naomba kujua total score ambaye supervisor anatoa inatakiwa isizidi asilimia 30 au 70?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ufadhili mpya wa Simba, Je nani anahusika kwa mlango wa nyuma?

    Simba imepata ufadhili mkubwa mno haijawahi tokea Tanzania. Ikumbukwe Rais Samia kipindi cha nyuma kidogo aliahidi kuzitafutia Simba na Yanga ufadhili. Je, hii inaweza kuwa ndo utekelezaji wenyewe wa ahadi. Huyo mzabuni aliyeshinda ni geresha tu kuna watu wako nyuma,tutajua zaidi. Ngoja...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mgawanyo wa fedha za motisha

    Kweli,hata yule ambaye hajacheza hata mechi moja
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mgawanyo wa fedha za motisha

    Naomba kujua jinsi mgawanyo wa fedha za motisha unavyokuwa kwa wachezaji wa mpira wa miguu.mfano juzi Mo ametoa milioni 500,je wachezaji wote watagawana sawa[waliocheza na ambao hawakucheza].Benchi la ufundi na wao wapo kwenye mgao pamoja na watu wengine kama msemaji wa timu msemaji
Back
Top Bottom