Recent content by MifugoKilimoTz

  1. M

    Tunauza vifaranga wa broiler ni bei ni 1,300tsh

    TUNAUZA VIFARANGA WA BROILER NI BEI NI 1,300Tsh Ukinunua kuanzia Vifaranga 1,000 bei ni 1,200Tsh tu Weka oda yako, Vifaranga tunatoa Siku ya juma tatu na alhamis. #broiler #kukuwanyama #kukuwakisasa #vifarangabora #kukuwakisasa #nyamayakuku #vifarangabora #vifarangavyakuku #vifarangavyakuchi...
  2. M

    Tunatoa Huduma za chanjo kwa mbwa na paka

    Pet's Vaccination Card Price: 2,000Tsh | Available Mifugo Tz ina madaktari(Vet Doctors) wenye uzoefu wa kutosha kwenye matibabu ya wanyama. Tunatoa huduma mbali mbali za mifugo kama: a) #Chanjo (Vaccination) kwa mbwa, paka nk b) Kuzuia maambukiz ya minyoo na magonjwa ya ngozi kwa wanyama wako...
  3. M

    Tunatoa huduma ya ujenzi wa mabanda bora ya mbwa (Dog Kennels)

    Banda bora la mbwa ni kitu muhimu sana kwenye ufugaji wa mbwa ili kupata matokeo chanya. Sifa za banda bora la mbwa. 1. Liwe linaweza kumkinga mbwa wako na baridi, mvua, jua pamoja na hatari nyingine kama nyoka 2. Banda lisafishike kirahisi, na hii husaidia katika kupunguza hatari ya...
  4. M

    Kilimo cha nyanya

    Nyanya ni zao la mboga linalolimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani. Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao ya mboga linalolimwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na...
  5. M

    Tunauza Vifaranga wa Kuku wa nyama | Broiler

    Ofa Ofa Ofa Vifaranga wa #broiler #kukuwanyama| Bei 1,400 | vinaingia Dar leo usiku asubuhi unapata. Lipa upewe mzigo wako. Wa mikoni mnatumiwa gharama ya usafiri ni juu ya mteja Njia ya Mosh, Arush, Tanga usafiri juu yetu broiler ni kuku wa nyama Karibu tukuhudumie. Simu: +255 712 253...
  6. M

    Mafunzo ya mifugo na kilimo

    Tupo Dar es salaam 0712253102
  7. M

    Mafunzo ya mifugo na kilimo

    Tupo Dar es salaam 0712253102
  8. M

    Mbuzi aina ya East Africa

    Wasiliana na 0712253102
  9. M

    Mafunzo ya mifugo na kilimo

    Tupo Dar es salaam
  10. M

    Vyungu vya kulea vifaranga

    Punguza gharama ya matumizi ya umeme kwa kutumia #Vyungu kama mbinu mbadala wa kuzalisha joto kwajili ya vifaranga. Fahamu kuhusu vyungu vya kulea vifaranga kwa lengo la kuokoa gharama za kutumia umeme au gesi. Umuhimu wa vyungu. 1• Vyungu hivi vinauwezo wa kutoa joto kwajili ya vifaranga na...
  11. M

    Mbuzi aina ya East Africa

    Wakulima wanaweza kupata pesa kuuza watoto, mbuzi, maziwa na ngozi kwa ajili ya bidhaa za ngozi, na usindikaji maziwa jibini na mtindi. Hawa ni mbuzi wenye asili ya Africa mashariki, maranyingi hufugwa kwajili ya uzalishaji wa nyama. Ukihitaji aina hii ya Mbuzi wasiliana nasi kupitia Simu...
  12. M

    Tunauza vifaranga wa broiler (kuku wa nyama) 1,400tsh

    Ofa Ofa Ofa Vifaranga wa #broiler #kukuwanyama| Bei 1,400 | vinaingia Dar leo usiku asubuhi unapata. Lipa upewe mzigo wako. Wa mikoni mnatumiwa gharama ya usafiri ni juu ya mteja Njia ya Mosh, Arush, Tanga usafiri juu yetu broiler ni kuku wa nyama Karibu tukuhudumie. Simu: +255 712 253...
  13. M

    Mafunzo ya mifugo na kilimo

    Tufahamu kwamba elimu au maarifa ni kitu cha kwanza kabla hujachukua hatua ya kufuga au kufanya kitu kwa vitendo. Huyu ni Dr Amani akitoa mafunzo ya ufugaji kwa baadhi ya watanzania akiwa darasani, lakini pia elimu ya vitendo ilikuwepo Lengo ni kuwajengea uwezo wa kusimama wenyewe na kufanya...
Back
Top Bottom