Thanks for your offer mkuu, Nilikuwa natarget at least kuanzia 40 inches na kipaumbele ni Samsung! Hongera kwa kupata SUMSUNG LED, hapo patakuwa parefu sana bila shaka, kama hutamaindi naomba uniPM bei na duka (not bad nikujua bei hata kama sitaweza kununua kama bei yake haishikiki na actually...
Mshiko mkuu, fedha imeota matairi - hata hivyo nimeandika kuulizia plasma na smart tv (hizi smart bei yake balaa) na ndo hiyo wewe unaita LED nadhani. Nipe details na bei za LED TV kama unazo mkuu!
Ahaaa! shukrani mkuu kama unapicha na full details (from the manufacturer) tafadhali niPM ama ziattach hapa ndo marketing yenyewe! Una za nchi 43 pekee?
Wadau ni duka gani kwa DSM naweza kupata plasma ama smart TV za kuanzia 40 to 55 inches (Samsung, LG ama Sony), nipo nje ya nchi wataalam wa Dar naomba msaada ili nisihangaike kununua huku kama bongo zipo na kwa bei ya kawaida (kama siyo ghari sana). Kama kuna mtu anajua bei zake tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.