Recent content by micoba

  1. micoba

    Kamati Kuu ya CCM yakutana saa nne asubuhi, Lumumba

    Hapa kinachosumbua watu wengi katika kipindi hiki ni kuacha kutumia akili na kubaki kuwa bendera fuata upepo tu..
  2. micoba

    Kamati Kuu ya CCM yakutana saa nne asubuhi, Lumumba

    Hata kama majengo hayo yatawekwa kwa matumizi ya kijamii ni sawa kabsa......ila upande wa pili bado hawa watawala watajichukulia majengo na kujitengenezea majengo kwa kodi hiyo hizo za wananchi ambao leo hii tunasema kuwa kodi hizo zinatumika na mtawala huyo
  3. micoba

    Kamati Kuu ya CCM yakutana saa nne asubuhi, Lumumba

    Kwahyo majengo yakirudishwa kwa umma na serikali ikawa ya ukawa ccm watalipa kodi sawa,then from there ukawa wataanza nao kujimilikisha majengo kwaajili ya kujiimalisha so,itakuwa imebadilika rangi ya majengo tu ila maisha yale yale,unazani wao wataacha bila kujijenga...never ever
  4. micoba

    Mbowe na Lowassa yawezekana wakawa tatizo CHADEMA

    Siasa siasani,game ya akili so raia nao wakiwa mambumbumbu basi itakula kwao tu kwa namna yoyote
  5. micoba

    Who is CCM's Architect?

    Nazani wamesoma alama za nyakati na wao wote kwa pamoja wakaamua kusimama pamoja
Back
Top Bottom