Shida sio mapenz mzee kunawakati unakosa uhuru na kujiamini,kuna nguo unashindwa kuvaa kabisa kama nguo za mpira nguo za kitambaa yani kunanamna natamani uelewe namna gani inatesa hii hali
Habari wadau, naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa za kuongeza maumbile ya kiume naomba anisaidie lakini ziwe dawa za asili.
Au kama ulisha wahi kutumia dawa hizo na zikakupatia matokeo tafadhali naomba nisaidie.
Ninamdogo Wangu Amemaliza Form six Amesoma CBG lakini Matokeo yake ni kama ifuatavyo
Chem:E
Bios:E
Geog D
Bam:E
Gs:E
Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.