Recent content by Micklingz_wrldwd

  1. Micklingz_wrldwd

    Wanahisabati toeni utata wa alama za ufaulu, majibu ya interview ya TRA

    Sjui lakini mostly kuna jibu ni correct hata sisi tulifanya written na kila jibu lina marks yake so kuna jibu la marks zote 2.5 na kuna pungufu ya hapo ndio maan written za PSRS unaambiwa cycle most correct answer not correct answer
  2. Micklingz_wrldwd

    Mfumo wa HESLB Hauna kipengele cha kuattach affidavit

    Hii changamoto inawafanya vijana wengi washindwe kupata mikopo kutokana na majina ya cheti cha kuzaliwa kutofautiana na form 4 huku hakuna sehemu ya kuattach affidavit hivyo uwezekano wa kupata mkopo ni mdogo sana na kama itakuwa hivi itafanya waforge hivyo vyeti na sio sahihi kama vilivyo
Back
Top Bottom